Wameru ni wamachame asilimia 100%

Wameru ni wamachame asilimia 100%

Sio Wameru tu, hata hao Wanaoitwa Waarusha ni Wakibosho tu waliowahi mapema kuishi Arusha mjini miaka ya 1800 mwanzoni
Wamasai wanawaita Waarusha LARUSA na kule kibosho kuna ukoo wa LARUSA uliotangulia Arusha mjini enzi hizo
Ni kama Wanyamwezi na Wasukuma
 
Ila kweli Wameru na wa machame ni km wamoja vile.

Wee R em njoo hapa useme neno, 😂😂😂
 
Sio Wameru tu, hata hao Wanaoitwa Waarusha ni Wakibosho tu waliowahi mapema kuishi Arusha mjini miaka ya 1800 mwanzoni
Wamasai wanawaita Waarusha LARUSA na kule kibosho kuna ukoo wa LARUSA uliotangulia Arusha mjini enzi hizo
Ni kama Wanyamwezi na Wasukuma
Kabisa
 
Sio Wameru tu, hata hao Wanaoitwa Waarusha ni Wakibosho tu waliowahi mapema kuishi Arusha mjini miaka ya 1800 mwanzoni
Wamasai wanawaita Waarusha LARUSA na kule kibosho kuna ukoo wa LARUSA uliotangulia Arusha mjini enzi hizo
Ni kama Wanyamwezi na Wasukuma
Haya.
Wanyamwezi na wasukuma nao walifanya nini?
 
Mjomba unaongea usichokijua mimi ni Mmachame mimi na mmeru ni tofauti kuanzia Koo mpaka taratibu za kimila na uongozi mtu ambaye na Mmeru wanafanana sana ni Wasiha
Kuna jamaa yangu mmeru, tupo wote Kigoma. Mzee wake aliwahi kumwambia asije akaoa mwanamke mchaga. Japo huyo mzee mkewe ni mchagaa.
 
Jamaa ni hao hao tu

Lugha ndo hiyo hiyo

Majina ni hayo hayo

Uchapakazi ndo huo huo

Ukali ni ule ule

Hii inafanya hata wameru na wamachame kushindwa kutofautisha accent zao haswa kwa wazee wao

Mfano bibi mzee wa kimachame akiongea au bibi mzee wa kimeru akiongea hapo jamii hizi mbili zinashindwa tofautisha kabisa lugha na lafudhi ya hao wazee maana ni lugha hiyo hiyo tu.
Ila ujue mazingira mtu aliyokulia humfanya awe na tabia tofauti
na maanisha ukiwafuatilia kwa makini, kuna namna wanatofautiana...
 
Sio Wameru tu, hata hao Wanaoitwa Waarusha ni Wakibosho tu waliowahi mapema kuishi Arusha mjini miaka ya 1800 mwanzoni
Wamasai wanawaita Waarusha LARUSA na kule kibosho kuna ukoo wa LARUSA uliotangulia Arusha mjini enzi hizo
Ni kama Wanyamwezi na Wasukuma
Sio kweli wakibosho sio wamasai
 
Sio kweli wakibosho sio wamasai
Sijasema Wamasai, kuna hawa Waarusha ambao ni Larusha...track Origin yao kuna hadi ukoo wa Mkindi, sasa wakindi sio Wachaga hawa?
Ukipata muda nenda pale ViaVia Arusha Boma karibu na ofisi ya kwa Mkuu wa Mkoa au Pale Marangu Mtoni ukajifunze historia ya haya makabila ya Kaskazini
 
Ahaaa, sawa sawa
Undugu haupo sema tu kuna baadhi ya Waarusha waliamia uchagani , uchagani kuna wakikuyu , wamasai wa kamba , wataita wasomali , hivyo ukisema undugu kila mtu anaundugu na jamii yake tu sema tumekutana sehemu moja
 
Undugu haupo sema tu kuna baadhi ya Waarusha waliamia uchagani , uchagani kuna wakikuyu , wamasai wa kamba , wataita wasomali , hivyo ukisema undugu kila mtu anaundugu na jamii yake tu sema tumekutana sehemu moja
Sawa sawa, wataita mpaka Mombasa pia wapo
 
Back
Top Bottom