kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,129
- 24,429
Jamaa ni hao hao tu
Lugha ndo hiyo hiyo
Majina ni hayo hayo
Uchapakazi ndo huo huo
Ukali ni ule ule
Hii inafanya hata wameru na wamachame kushindwa kutofautisha accent zao haswa kwa wazee wao
Mfano bibi mzee wa kimachame akiongea au bibi mzee wa kimeru akiongea hapo jamii hizi mbili zinashindwa tofautisha kabisa lugha na lafudhi ya hao wazee maana ni lugha hiyo hiyo tu.
Lugha ndo hiyo hiyo
Majina ni hayo hayo
Uchapakazi ndo huo huo
Ukali ni ule ule
Hii inafanya hata wameru na wamachame kushindwa kutofautisha accent zao haswa kwa wazee wao
Mfano bibi mzee wa kimachame akiongea au bibi mzee wa kimeru akiongea hapo jamii hizi mbili zinashindwa tofautisha kabisa lugha na lafudhi ya hao wazee maana ni lugha hiyo hiyo tu.
