komamgo
JF-Expert Member
- Sep 14, 2012
- 1,757
- 1,485
Dogo, Hongera, inauma Sana kuibiwa, tena kila kitu. Anza upya, weka shimo handaki wabaya wako utawakuta wametumbukia humo. Waambie umeweka handaki na ndani yake weka nyoka wa sumu Kali uwaeleze kuwa Kuna nyoka wa sumu Kali.
Furahi sasa umekuwa mtu mkubwa, simaanishi ushirikina bali soma mchezo kwa kina na bandika
Maonyo kwenye ufahamu wa hao wezi. Na badilika kulingana na wao wanavyo cheza mchezo.. Kama ni mbwa weka mbwa, kama ni kuku weka kuku, kama ni camera weka kamera. Kama ni bigula tundika mlangoni.
Furahi sasa umekuwa mtu mkubwa, simaanishi ushirikina bali soma mchezo kwa kina na bandika
Maonyo kwenye ufahamu wa hao wezi. Na badilika kulingana na wao wanavyo cheza mchezo.. Kama ni mbwa weka mbwa, kama ni kuku weka kuku, kama ni camera weka kamera. Kama ni bigula tundika mlangoni.