Wameniibia duka lote la vinywaji

Wameniibia duka lote la vinywaji

Dogo, Hongera, inauma Sana kuibiwa, tena kila kitu. Anza upya, weka shimo handaki wabaya wako utawakuta wametumbukia humo. Waambie umeweka handaki na ndani yake weka nyoka wa sumu Kali uwaeleze kuwa Kuna nyoka wa sumu Kali.
Furahi sasa umekuwa mtu mkubwa, simaanishi ushirikina bali soma mchezo kwa kina na bandika
Maonyo kwenye ufahamu wa hao wezi. Na badilika kulingana na wao wanavyo cheza mchezo.. Kama ni mbwa weka mbwa, kama ni kuku weka kuku, kama ni camera weka kamera. Kama ni bigula tundika mlangoni.
 
kabla hujafungua tena wewe ofisi yako ina geti la namna gani ni kama yale ya kkoo ya kuvuta juu au yale mageti ya zamani
pili inawezekana hawa wezi wa kuvunja maflemu wanaconection na baadhi ya mapolice siyo waaminifu 7bu utakuta sehemu kweupe tena barabarani mda wote kupo bize araf watu wanafungua frem kama zao coz huu ndo mchezo wao kurudishana nyuma nashangaa huu mchezo sijawai kusikia hata mmoja kukamatwa ingawaje nishawai sikia wanapatikana mwananyamala manjnju kama unatokea kwenda chama ya tandale eneo la kati pale sana sana nasikia watu wanalalamika kila siku wanaibiwa ipo haja ya kuwaamisha mapolice wa dsm wawatapanye mikoani na wamikoani waje DSM
kuna jamaa yangu aliibiwa mzigo wa m10 mitaa ya komakoma barabarani kabisa tena siku hiyo TWANGA walikuwa wanapiga mango ni enzi ya CLUB JACALANDA vs UHURU watu hawalali mpk kuchee lkn wajomba walijichukulia vitu km vyao alienda police lkn police wala hawajaijali kesi yake majibu ni kama hayo tu ya kuhudhi na kukatisha tamaa
alichofanya akaachana nao akabadili mfumo wa geti kutoka kama yale ya kkoo na kuweka ya kizamani pia akaweka lock za mtindo fulani awataweza kufungua labda waje na moto wa gesi pili akanunua kufuri za kupiga makelele wakichokonoa tu hiyo mikelele yake hatari akanitafuta nikampeleka moro HUKO KOLELO kwetu tukafanya vitu flan amazing Mwaka wa tatu sasa hakuna mambo ya kijinga
Hizo kufuli za alarm zinapatikana wapi? Vipi bei yake??
Nataka kufungua hardware ila nina la kujifunza kwenye huu uzi!!
 
Hizo kufuli za alarm zinapatikana wapi? Vipi bei yake??
Nataka kufungua hardware ila nina la kujifunza kwenye huu uzi!!
kwan bei mkuu zinaanzia tshs elf 2o tu zinapatikana kkoo
Mzimu wa Kolelo Mkuu yaani ni story ndefu acha tu mungu anaona aiseee maana ni balaa hatari na mchezo unafanyika kweupe kabisa,mimi hilo duka lipo barabarani na watu wanapita masaaa yote usiku kucha sio kama ni uchochoroni ni balala nyeupe kabisaaa, ni mchezo ambazo kama unavyosema unapangwa na police sio bure na mara 2 nzima wamekuja police wamesema hatuna ushahidi labda tuwape ushahidi,

Geti lake ndani kuna geti la nondo alafu na mlango wake then nje tumeweka lile la kuvuta chini,na hayo ya kizamani ni yapi ndugu yangu??na hizo lock zinapatikana wapi maana hata mimi niliweka kabisaa lock za alarm ila asubuhi tuliikuta mezani wameikata sasa nikahisi ni yule mfanyakazi ndio amepanga njama na yeye....je hiyo sehemu wanaweza kutengeneza mageti ya hivyo unaweza kunielekeza??nashukuru sana ila kuhusu swala la MORO KOLELO itabidi ni muhimu hasaa kwenye hizi biashara expensive...naomba msaada wako tafadhali
haya ndo ya kisasa ulinzi wa mari zako hapa ni sifuri ni rahisi kuibiwa ndo mana umepata hasara 7bu utategemea KUFURI na kufuri sio mlinzi ukiwa mjuzi haikupi shida dkk 3 tu kushney
d1b3b37be8bbff3b40afd290abcdb968.jpg


haya ndo ya kizamani ulinzi 80% ulijimlisha na hizo lock amazing
e48e328ab016bcedd30ba8fcea00e315.jpg
 
Elungata Mkuu kwa investment niliyoweka mlinzi alikuwepo sema anasema alikuwa anaogopa kupiga kelele na mara ya pili alikuwa kalala na hao wote walinzi tofauti na hapo hapo nilikuwa na makufuri ya alarm pia.
Embu kwanza anza na huyo mlinzi kumtia ndani wakambinye ipasavyo atasema yote inaonekana anamfahamu mwizi ni nani
 
kwan bei mkuu zinaanzia tshs elf 2o tu zinapatikana kkoo

haya ndo ya kisasa ulinzi wa mari zako hapa ni sifuri ni rahisi kuibiwa ndo mana umepata hasara 7bu utategemea KUFURI na kufuri sio mlinzi ukiwa mjuzi haikupi shida dkk 3 tu kushney
d1b3b37be8bbff3b40afd290abcdb968.jpg


haya ndo ya kizamani ulinzi 80% ulijimlisha na hizo lock amazing
e48e328ab016bcedd30ba8fcea00e315.jpg
Angalau frem yangu ina geti la zamani.. Ngoja nitafute hizo kufuli asante mkuu!!
 
hapo hakuna haja ya kumtoa m2kafara huyo mwizi mnamahusino tena ya karibu maana haiingii akilin mtu asie kujua akaja kuiba mali zako zote
 
Dogo, Hongera, inauma Sana kuibiwa, tena kila kitu. Anza upya, weka shimo handaki wabaya wako utawakuta wametumbukia humo. Waambie umeweka handaki na ndani yake weka nyoka wa sumu Kali uwaeleze kuwa Kuna nyoka wa sumu Kali.
Furahi sasa umekuwa mtu mkubwa, simaanishi ushirikina bali soma mchezo kwa kina na bandika
Maonyo kwenye ufahamu wa hao wezi. Na badilika kulingana na wao wanavyo cheza mchezo.. Kama ni mbwa weka mbwa, kama ni kuku weka kuku, kama ni camera weka kamera. Kama ni bigula tundika mlangoni.

komamgo Nashukuru sana mkuuu comment yako lakini umeiandika kiana kabisaaa na kiutofauti ila umeeleweka asante sana kaka nashukuru sana kwa hilo na wazo lako roho inauma sio kidogo na ukiangalia nimemwaga hela nyingi sanaaa...wamechukua kila kitu hamna kilichobakia...Asante sana kwa mawazo yako ila ukifafanua zaidi nitashukuru sana
 
kwan bei mkuu zinaanzia tshs elf 2o tu zinapatikana kkoo

haya ndo ya kisasa ulinzi wa mari zako hapa ni sifuri ni rahisi kuibiwa ndo mana umepata hasara 7bu utategemea KUFURI na kufuri sio mlinzi ukiwa mjuzi haikupi shida dkk 3 tu kushney
d1b3b37be8bbff3b40afd290abcdb968.jpg


haya ndo ya kizamani ulinzi 80% ulijimlisha na hizo lock amazing
e48e328ab016bcedd30ba8fcea00e315.jpg

Mzimu wa Kolelo Nashukuru sana kwa hili asante sana tena sanaa really appreciate hapo tatizo nilikuwa na geti jipya sio haya ya zamani hilo hapo ni kila kitu kuvunja hawawezi kabisa na ulinzi hapo umekamilika nadhani next step nitafanya hivyo itabidi nijiweke vizuri kwa kuweka tu geti lile la zamani nadhani hiyo ndio idea nzuri
 
Embu kwanza anza na huyo mlinzi kumtia ndani wakambinye ipasavyo atasema yote inaonekana anamfahamu mwizi ni nani

iJamii Nashukuru sana nimejaribu kuomba msaada wa police wamesema hawawezi kunisaidia kwa lolote maana sina ushahidi wowote ila wenyewe ndio wakutafuta na kufanya investigations na sio mimi sema msaada nimekosa kila mahali. ila najuwa lazima mlinzi atakuwa amehusika hapa sio bure lazima atakuwa anajuwa kila kitu kinachoendelea....
 
Angalau frem yangu ina geti la zamani.. Ngoja nitafute hizo kufuli asante mkuu!!

gwankaja Hongera sanaa mkuu weka mapema hizo kufuli ila mimi nilikuwa nalo moja ila nililikuta wamekata wameweka mezani na mpaka leseni ya duka walichukua na yenyewe...
 
Weka mlinzi kutoka makampuni makubwa yaliyosajiliwa. Makampuni haya ukiibiwa ni jukumu lao hivyo wako makini na walinzi wao

truckdriver Asante sana ni wazo zuri sanaa ila kama ni hivyo itakuwa gharama kidogo maana kuna fremu zingine so naona gharama itakuwa kwangu sema itabidi nifikirie...
 
hapo hakuna haja ya kumtoa m2kafara huyo mwizi mnamahusino tena ya karibu maana haiingii akilin mtu asie kujua akaja kuiba mali zako zote

valangati Ni kweli kabisaaa hujakosea unachosema maana hata muuzaji amekuwa na wasiwasi sana na anaogopa sana sema itabidi kuangalia nini cha kufanya maana haiwezekani mtu atoke sehemu nyingine aje kuiba sehemu asiyojuwa.....
 
Mzimu wa Kolelo Nashukuru sana kwa hili asante sana tena sanaa really appreciate hapo tatizo nilikuwa na geti jipya sio haya ya zamani hilo hapo ni kila kitu kuvunja hawawezi kabisa na ulinzi hapo umekamilika nadhani next step nitafanya hivyo itabidi nijiweke vizuri kwa kuweka tu geti lile la zamani nadhani hiyo ndio idea nzuri
mkuu ukitaka kutengeneza hilo geti nicheck nikueleze hizo lock nadhani ni msaada mkubwa sana zitakusaidia unatakiwa umuelekeze fundi wakati anatengeneza hilo geti jinsi ya kuweka
ila yote ni katika kujihami tu ila wezi wanambinu nyingi wakiamua
ila ukijidhatiti watakuogopa ukitaka unaweza ukatega UCHAWI
 
Mkuu dagii tafadhali naomba tuwasiliane nitumie number yako ili niweze kupata msaada wa camera na ndio nimeamua hivyo kuweka camera sasa hivi,inauma sanaaa acha tu sina namnaaa
Camera sio kitu mkuu camera sio suluhu,angalau kuweka mlinzi, maana anaekuibia inawezekana ni mtu wa karibu sana, na ameshakuona una kauzembe fulani cha kudhibiti mali zako na ndo maana anarudi kila wakati, ukiweka camera utajidanganya atatafuta njia tofauti kama kuvaa mask nk,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom