Wameniibia duka lote la vinywaji

Wameniibia duka lote la vinywaji

Mwizi wako hatoki mbali sema ningekusaidia ila mtaalamu wa kuwanyoosha hao wezi ninae mjua kafariki mwaka jana...ndugu/rafiki anaweza kuwa Mwizi wako/mchora ramani wa misheni yote ya kuiba
 
Mkuu hauna walinzi?

Hauna Bima?

Hauna system yoyote ya ulinzi?
Kwa biashara zetu ndogo ndogo ukiweka hivyo vitu unafilisika sekunde cost zinakua juu sana.Tatizo waafrika wote wezi ndiyo maana mhindi anasimama mwenyewe katika biashara yake,sisi tunaachia vijana na hata stock taking hatufanyi
 
Kwa biashara zetu ndogo ndogo ukiweka hivyo vitu unafilisika sekunde cost zinakua juu sana.Tatizo waafrika wote wezi ndiyo maana mhindi anasimama mwenyewe katika biashara yake,sisi tunaachia vijana na hata stock taking hatufanyi

Mkuu yani umeweka mahali 20mil alafu hauwekei ulinzi kwaajili ya kuogopa gharama!!kweli ndio maana watu wengine wanaendelea kuwa maskini.
 
Ungefunga camera,polesana.aisee,tunarudisha na nyuma kabisa

Mkuu dagii tafadhali naomba tuwasiliane nitumie number yako ili niweze kupata msaada wa camera na ndio nimeamua hivyo kuweka camera sasa hivi,inauma sanaaa acha tu sina namnaaa
 
hukuweka mlinzi? Hapa ndo zana ya bima ya majanga inapoonyesha umuhimu wake

Mr. MTUI mara ya kwanza walivyoiba mlinzi anasema alikuwa amelala hakusikia mara ya pili mlinzi anasema aliogopa kupiga kelele eti kweli??na itabidi kuwa na bima nadhani kuanzia sasa
 
Hakuna watchman?ama ulikua unabana matumizi?

Elungata Mkuu kwa investment niliyoweka mlinzi alikuwepo sema anasema alikuwa anaogopa kupiga kelele na mara ya pili alikuwa kalala na hao wote walinzi tofauti na hapo hapo nilikuwa na makufuri ya alarm pia.
 
Mkuu hauna walinzi?

Hauna Bima?

Hauna system yoyote ya ulinzi?

GlobalChick nimejifunza kutokana na makosa walinzi mara zote 2 walikuwepo mara ya kwanza amesema alikuwa amelala hakusikia mara ya pili anasema walimwambia asipige kelele, pia upande wa bima sina ila system ya ulinzi sikuweka unaweza kunisaidia hasaa upande wa system ya ulinzi kama hutojali??na kama unafahamu watu wa bei rahisi kuweka
 
Kwa biashara zetu ndogo ndogo ukiweka hivyo vitu unafilisika sekunde cost zinakua juu sana.Tatizo waafrika wote wezi ndiyo maana mhindi anasimama mwenyewe katika biashara yake,sisi tunaachia vijana na hata stock taking hatufanyi

Nadhani BONGOLALA umeongea kitu ambacho ni cha ukweli wala hujakosea kabisaa upo sawa kabisa sisi waafrica ndio tatizo kubwa ndio maana wahindi wanasimama wenyewe kama wenyewe.....
 
Mkuu yani umeweka mahali 20mil alafu hauwekei ulinzi kwaajili ya kuogopa gharama!!kweli ndio maana watu wengine wanaendelea kuwa maskini.

Kwangu mlinzi alikuwepo tena mara zote 2 mlinzi wa kwanza anasema alipitiwa na usingizi na mlinzi wa pili anasema aliambiwa asipige kelele ila mara ya pili sasa wameiba hawajacha hata chupa moja ya maji na mpaka kwenye fridge wamebeba kila kitu
 
Pole sana meku nilisha kutana na izo dhoruba za kuibiwa najua maumivi yake labda ela uwe ukuipata kwa halali
Mimi nilichofanya kwa wezi wangu mungu na mimi ndo tunajua ukitegemea awa police wetu utapoteza ela ingine tu nenda front mwenyewe man ata kama itagarimu maisha ya watu anza na wafanyazi unaowahisi achana na mambo ya mganga wala kumuachia mungu simama kiume meku we na roho yako usitegemee chochote nakuakikishia ukifanya ivyo itawapata wezi wako ila na wewe uwe vizuri usiwe mbongo movie
 
Pole sana meku nilisha kutana na izo dhoruba za kuibiwa najua maumivi yake labda ela uwe ukuipata kwa halali
Mimi nilichofanya kwa wezi wangu mungu na mimi ndo tunajua ukitegemea awa police wetu utapoteza ela ingine tu nenda front mwenyewe man ata kama itagarimu maisha ya watu anza na wafanyazi unaowahisi achana na mambo ya mganga wala kumuachia mungu simama kiume meku we na roho yako usitegemee chochote nakuakikishia ukifanya ivyo itawapata wezi wako ila na wewe uwe vizuri usiwe mbongo movie

abuu garcia Mkuu naomba nipe ufafanuzi zaidi hapo ume maanisha nini hasa ndugu yangu hapa yaani akili haijakaa sawa kabisaa,na hla nimeitafuta sijakopa wala kumuibia mtu wala kumdhurumu mtu jasho langu mwenyewe,naomba tafadhali nitumie message nipe maelezo na uliwajuwa??me sijali mkuu bora igharimu maisha ya watu nimeumia sanaaa,naomba msaada wako tafadhali....
 
Weka cctv sasa,na pengine alarm,mlinzi asijue kuhusu hizo system
 
Aisee navojua polic ccm unaweza ukawa na mkanda mzima wa cctv ukawajua wezi ila polisi pia wakazungua sasa dawa yao ni mmoja mzee ungekuwa unafanya biashara takatifu nikueleza sehemu tuwapigie albadir kudadeki ila kwa vile biashara yako haiko kivile yaani mambo ya kileo mm nakushauri vuka bahari tumjaze mtu tumbo au tumueke panya tumboni akienda toilet haja kubwa anatoka akimaliza tuu anaingia ni pm mkuu ila km uko tayari kuvuka bahari siku mbili nyingi utapata matokeo
 
Weka cctv sasa,na pengine alarm,mlinzi asijue kuhusu hizo system

Elungata Sawa sawa mkuu je kama mlinzi hajui na muuzaji je maana nimegundua kwa kiasi kikubwa kuna mchezo umefanyika unajuwa watu wa kuweka cctv kwa bei nzuri na alarm je??
 
Aisee navojua polic ccm unaweza ukawa na mkanda mzima wa cctv ukawajua wezi ila polisi pia wakazungua sasa dawa yao ni mmoja mzee ungekuwa unafanya biashara takatifu nikueleza sehemu tuwapigie albadir kudadeki ila kwa vile biashara yako haiko kivile yaani mambo ya kileo mm nakushauri vuka bahari tumjaze mtu tumbo au tumueke panya tumboni akienda toilet haja kubwa anatoka akimaliza tuu anaingia ni pm mkuu ila km uko tayari kuvuka bahari siku mbili nyingi utapata matokeo

Sirdirashy Nashukuru sana mkuu na ndio tatizo kila mahali nikienda kuulizia kupiga albadir naona wanasema biashara sio yenyewe hawawezi imeniuma sanaa hasaa nikiangalia hamna msaada sio kwa muuzaji wala mlinzi, nimekubali kuingia gharama kufanya chochote kile kwa yoyote alihusika manaa maisha yenyewe ni kama wameyachukua inabidi nianze upya, me nipo tayari kuvuka maji ndugu yangu nitakucheck now PM.
 
kabla hujafungua tena wewe ofisi yako ina geti la namna gani ni kama yale ya kkoo ya kuvuta juu au yale mageti ya zamani
pili inawezekana hawa wezi wa kuvunja maflemu wanaconection na baadhi ya mapolice siyo waaminifu 7bu utakuta sehemu kweupe tena barabarani mda wote kupo bize araf watu wanafungua frem kama zao coz huu ndo mchezo wao kurudishana nyuma nashangaa huu mchezo sijawai kusikia hata mmoja kukamatwa ingawaje nishawai sikia wanapatikana mwananyamala manjnju kama unatokea kwenda chama ya tandale eneo la kati pale sana sana nasikia watu wanalalamika kila siku wanaibiwa ipo haja ya kuwaamisha mapolice wa dsm wawatapanye mikoani na wamikoani waje DSM
kuna jamaa yangu aliibiwa mzigo wa m10 mitaa ya komakoma barabarani kabisa tena siku hiyo TWANGA walikuwa wanapiga mango ni enzi ya CLUB JACALANDA vs UHURU watu hawalali mpk kuchee lkn wajomba walijichukulia vitu km vyao alienda police lkn police wala hawajaijali kesi yake majibu ni kama hayo tu ya kuhudhi na kukatisha tamaa
alichofanya akaachana nao akabadili mfumo wa geti kutoka kama yale ya kkoo na kuweka ya kizamani pia akaweka lock za mtindo fulani awataweza kufungua labda waje na moto wa gesi pili akanunua kufuri za kupiga makelele wakichokonoa tu hiyo mikelele yake hatari akanitafuta nikampeleka moro HUKO KOLELO kwetu tukafanya vitu flan amazing Mwaka wa tatu sasa hakuna mambo ya kijinga
 
kabla hujafungua tena wewe ofisi yako ina geti la namna gani ni kama yale ya kkoo ya kuvuta juu au yale mageti ya zamani
pili inawesekana hawa wezi wa kuvunja maflemu wanaconection na baadhi ya mapolice siyo waaminifu coz huu ndo mchezo wao kurudishana nyuma nashangaa huu mchezo sijawai kusikia hata mmoja kukamatwa ingawaje nishawai sikia wanapatikana mwananyamala manjnju kama unatokea kwenda chama ya tandale eneo la kati pale sana sana nasikia watu wanalalamika kila siku wanaibiwa ipo haja ya kuwaamisha mapolice wa dsm wawatapanye mikoani na wamikoani waje DSM
kuna jamaa yangu aliibiwa mzigo wa m10 mitaa ya komakoma barabarani kabisa tena siku hiyo TWANGA walikuwa wanapiga mango ni enzi ya CLUB JACALANDA vs UHURU watu hawalali mpk kuchee lkn wajomba walijichukulia vitu km vyao alienda police lkn police wala hawajaijali kesi yake majibu ni kama hayo tu ya kuhudhi na kukatisha tamaa
alichofanya akaachana nao akabadili mfumo wa geti kutoka kama yale ya kkoo na kuweka ya kizamani pia akaweka lock za mtindo fulani awataweza kufungua labda waje na moto wa gesi pili akanunua kufuri za kupiga makelele wakichokonoa tu hiyo mikelele yake hatari akanitafuta nikampeleka moro HUKO KOLELO kwetu tukafanya vitu flan amazing Mwaka wa tatu sasa hakuna mambo ya kijinga

Mzimu wa Kolelo Mkuu yaani ni story ndefu acha tu mungu anaona aiseee maana ni balaa hatari na mchezo unafanyika kweupe kabisa,mimi hilo duka lipo barabarani na watu wanapita masaaa yote usiku kucha sio kama ni uchochoroni ni balala nyeupe kabisaaa, ni mchezo ambazo kama unavyosema unapangwa na police sio bure na mara 2 nzima wamekuja police wamesema hatuna ushahidi labda tuwape ushahidi,

Geti lake ndani kuna geti la nondo alafu na mlango wake then nje tumeweka lile la kuvuta chini,na hayo ya kizamani ni yapi ndugu yangu??na hizo lock zinapatikana wapi maana hata mimi niliweka kabisaa lock za alarm ila asubuhi tuliikuta mezani wameikata sasa nikahisi ni yule mfanyakazi ndio amepanga njama na yeye....je hiyo sehemu wanaweza kutengeneza mageti ya hivyo unaweza kunielekeza??nashukuru sana ila kuhusu swala la MORO KOLELO itabidi ni muhimu hasaa kwenye hizi biashara expensive...naomba msaada wako tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom