Wameniibia duka lote la vinywaji

Wameniibia duka lote la vinywaji

Papizo

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2008
Posts
5,249
Reaction score
2,156
Wakuuu naombeni msaada wenu kwa hali yoyote nipo tayari kuingia gharama ikiwezekana,nilikuwa na dula la vinywaji vikali maeneo ya kinondoni ila bahati mbaya sijui mchezo ulifanyika na muuzaji wakaiba duka zima vitu vikawa vimebaki vichache sanaa... sasa hivi tena kama siku 3 zimepita wamekuja wamekata makufuli wamevunja tena na kuiba kila kitu hawajaacha hata kitu kimoja nimeingia...

Mara ya kwaza waliiba vitu ya million 20 na kitu nikajikaza nikanunua tena sikutaka shari ila baada ya kujaza tena duka sasa hivi wameiba tena vitu kama vya 15M vyote wamebeba naomba msaada wenu nipo tayari kumtoa mtu kafara au kama kuna mganga yoyote yupo tafadhali naomba mnisaidie kwa hili inauma sanaa unapo fight kutafuta hela kuinvest alafu watu wanaibaa kirahisi naombeni mnisaidie nini nifanye..

Police wamesema hawawezi kunisaidia kwa chochote labda niwe na ushahidi sasa ushahidi nitaupata wapi na wenyewe kazi yao?roho inauma sanaa...
 
mkuu. nunua tena kisha chukua maamuzi mkononi yaan weka mtego maana serikali ya ccm ni majanga pole sana


sswissme.


swissme
 
Wakuuu naombeni msaada wenu kwa hali yoyote nipo tayari kuingia gharama ikiwezekana,nilikuwa na dula la vinywaji vikali maeneo ya kinondoni ila bahati mbaya sijui mchezo ulifanyika na muuzaji wakaiba duka zima vitu vikawa vimebaki vichache sanaa... sasa hivi tena kama siku 3 zimepita wamekuja wamekata makufuli wamevunja tena na kuiba kila kitu hawajaacha hata kitu kimoja nimeingia...

Mara ya kwaza waliiba vitu ya million 20 na kitu nikajikaza nikanunua tena sikutaka shari ila baada ya kujaza tena duka sasa hivi wameiba tena vitu kama vya 15M vyote wamebeba naomba msaada wenu nipo tayari kumtoa mtu kafara au kama kuna mganga yoyote yupo tafadhali naomba mnisaidie kwa hili inauma sanaa unapo fight kutafuta hela kuinvest alafu watu wanaibaa kirahisi naombeni mnisaidie nini nifanye..

Police wamesema hawawezi kunisaidia kwa chochote labda niwe na ushahidi sasa ushahidi nitaupata wapi na wenyewe kazi yao?roho inauma sanaa...
Mungu anakupenda mtoto wake mpendwa anakutaka ubadili biashara usiuze vileo tena.
 
Kwa mganga mkuu ni kumgeukia Mungu tu ndio Mganga pekee anaeweza kukupa msaada wa uhakika wengine watakuchuna tu.
 
mkuu. nunua tena kisha chukua maamuzi mkononi yaan weka mtego maana serikali ya ccm ni majanga pole sana


sswissme.


swissme

Wazo zuri sanaa naona itabidi sasa hivi nichukue maamuzi mkononi nashukuru sana swiss mana hapa hamna ujanja
 
Kwa mganga mkuu ni kumgeukia Mungu tu ndio Mganga pekee anaeweza kukupa msaada wa uhakika wengine watakuchuna tu.

Asante sanaa nashukuru kwa wazo lako je ungekuwa wewe ungechukua uwamuzi gani?
 
Mungu anakupenda mtoto wake mpendwa anakutaka ubadili biashara usiuze vileo tena.

Mkuu lazima kuwa na target ya biashara sio kila mtu auze nguo maana lazima kubuni kitu ambazo unaona kina mafaniko
 
hukuweka mlinzi? Hapa ndo zana ya bima ya majanga inapoonyesha umuhimu wake
 
Pole sana mkuu ila kumbuka vyote 2navyovtafuta dunian vtapta na 2taviacha...umekuja mavumbi na mavumbin utarud!!

We km vp jpange upya utafute vngne
 
Kwa mganga mkuu ni kumgeukia Mungu tu ndio Mganga pekee anaeweza kukupa msaada wa uhakika wengine watakuchuna tu.

Nashukuru sana kwa mawazo ya kutia moyo really apprecaite a lot...ila nita deal nao tu kwa njia yoyote ile wala hamna tatizo
 
Pole sana mkuu ila kumbuka vyote 2navyovtafuta dunian vtapta na 2taviacha...umekuja mavumbi na mavumbin utarud!!

We km vp jpange upya utafute vngne

Mkuuu now hela ilivyokuwa ngumu kuiangaikia sio mchezo ndio maana nimeumia sanaa aiseee ila nita fight back kama kawaida wala hamna tatizo....najuwa kila kitu kinatokea kwa sababu maalum
 
Wakuuu naombeni msaada wenu kwa hali yoyote nipo tayari kuingia gharama ikiwezekana,nilikuwa na dula la vinywaji vikali maeneo ya kinondoni ila bahati mbaya sijui mchezo ulifanyika na muuzaji wakaiba duka zima vitu vikawa vimebaki vichache sanaa... sasa hivi tena kama siku 3 zimepita wamekuja wamekata makufuli wamevunja tena na kuiba kila kitu hawajaacha hata kitu kimoja nimeingia...

Mara ya kwaza waliiba vitu ya million 20 na kitu nikajikaza nikanunua tena sikutaka shari ila baada ya kujaza tena duka sasa hivi wameiba tena vitu kama vya 15M vyote wamebeba naomba msaada wenu nipo tayari kumtoa mtu kafara au kama kuna mganga yoyote yupo tafadhali naomba mnisaidie kwa hili inauma sanaa unapo fight kutafuta hela kuinvest alafu watu wanaibaa kirahisi naombeni mnisaidie nini nifanye..

Police wamesema hawawezi kunisaidia kwa chochote labda niwe na ushahidi sasa ushahidi nitaupata wapi na wenyewe kazi yao?roho inauma sanaa...


Mkuu hauna walinzi?

Hauna Bima?

Hauna system yoyote ya ulinzi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom