Wamemuingiza cha jiji halafu wanejitenga naye!

Wamemuingiza cha jiji halafu wanejitenga naye!

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,602
Reaction score
830,350
Niliwahi kuingizwa cha kike, nikachomekewa mwanamke, nikaingia kichwa kichwa! Nikaambulia na aibu ya mwaka, kuwafuata walioniletea msala wakanikimbia!

Wamemchomekea akasaini mikataba thenashara mara tatu kasoro 4. Mmoja tu uliovuja umeshaleta taharuki kubwa sana, haufai haufai haufai, vipi hiyo mingine 31 ya siri? Inasemaje? Itavuja lini? Itasambazwa lini? Masharti yake ni yapi nk?

Kwa mtazamo wa haraka sana hiyo mingine 31 haina tofauti na huu wa 32, labda kwenye eneo husika; Miundo mbinu reli, Miundo mbinu airports, Miundombinu barabara, Miundombinu mawasiliano, Kilimo, Ufugaji, Maliasili madini, Maliasili misitu, Maliasili mbuga, Maliasili utalii, Maliasili maeneo ya kihistoria, Kodi, Utawala, Siasa, Elimu, Imani, Mingine siifahamu/

Master mind wa hii mipango wapo lakini hawajitokezi waziwazi, ;wanasukuma gari kwa nyuma mbele huwaoni ila unaona gari linasonga; Likikosea njia, Likifanya ajali, Likivunja sheria, lawama ni kwake kwakuwa ndio wamemuweka kwenye usukani, lakini hawezi kuwazoom hata kwenye sight mirror maana wako nyuma ama kwenye blind spot!

Wamemuingiza pabaya hawezi kuchomoa ama kuchomoka na hawezi kulazimisha la sivyo ama zake ama zao! Ameshika kwenye makali, wameshika kwenye mpini.

Kumkoma nyani jiladi! Muda pekee ndio utaokoa ama kuzamisha jahazi la kudra za mwenyezi Mungu mweza wa yote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kuingizwa cha kike!
Nikachomekewa demu, nikaingia kichwa kichwa! Nikaambulia kuumbuliwa na aibu ya mwaka! Kuwafuata walioniiletalea msala wakanikimbia!

Wamemchomekea akasaini mikataba thenashara mara tatu kasoro 4.. Mmoja tu uliovuja umeshaleta taharuki kubwa sana! Haufai haufai haufai.. Vipi hiyo mingine 31 ya siri?
Inasemaje?
Itavuja lini?
Itasambazwa lini?
Masharti yake ni yapi?
Nknk
Kwa mtazamo wa haraka sana hiyo mingine 31 haina tofauti na huu wa 32.. Labda kwenye eneo husika
Miundo mbinu reli
Miundo mbinu airports
Miundombinu barabara
Miundombinu mawasiliano
Kilimo
Ufugaji
Maliasili madini
Maliasili misitu
Maliasili mbuga
Maliasili utalii
Maliasili maeneo ya kihistoria
Kodi
Utawala
Siasa
Elimu
Imani
Mingine siifahamu

Master mind wa hii mipango wapo lakini hawajitokezi waziwazi wanasukuma gari kwa nyuma mbele huwaoni ila unaona gari linasonga
Likikosea njia
Likifanya ajali
Likivunja sheria
Lawama ni kwake kwakuwa ndio wamemuweka kwenye usukani lakini hawezi kuwazoom hata kwenye sight mirror maana wako nyuma ama kwenye blind spot!
Wamemuingiza pabaya hawezi kuchomoa ama kuchomoka na hawezi kulazimisha la sivyo ama zake ama zao! Ameshika kwenye makali wameshika kwenye mpini!

Kumkoma nyani jiladi..!
Muda pekee ndio utaokoa ama kuzamisha jahazi ama la kudra za mwenyezi Mungu mweza wa yote!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninanusa series of bombardments (Mlipuko wa tamthiliya) in the near future.
 
Niliwahi kuingizwa cha kike!
Nikachomekewa demu, nikaingia kichwa kichwa! Nikaambulia kuumbuliwa na aibu ya mwaka! Kuwafuata walioniiletalea msala wakanikimbia!

Wamemchomekea akasaini mikataba thenashara mara tatu kasoro 4.. Mmoja tu uliovuja umeshaleta taharuki kubwa sana! Haufai haufai haufai.. Vipi hiyo mingine 31 ya siri?
Inasemaje?
Itavuja lini?
Itasambazwa lini?
Masharti yake ni yapi?
Nknk
Kwa mtazamo wa haraka sana hiyo mingine 31 haina tofauti na huu wa 32.. Labda kwenye eneo husika
Miundo mbinu reli
Miundo mbinu airports
Miundombinu barabara
Miundombinu mawasiliano
Kilimo
Ufugaji
Maliasili madini
Maliasili misitu
Maliasili mbuga
Maliasili utalii
Maliasili maeneo ya kihistoria
Kodi
Utawala
Siasa
Elimu
Imani
Mingine siifahamu

Master mind wa hii mipango wapo lakini hawajitokezi waziwazi wanasukuma gari kwa nyuma mbele huwaoni ila unaona gari linasonga
Likikosea njia
Likifanya ajali
Likivunja sheria
Lawama ni kwake kwakuwa ndio wamemuweka kwenye usukani lakini hawezi kuwazoom hata kwenye sight mirror maana wako nyuma ama kwenye blind spot!
Wamemuingiza pabaya hawezi kuchomoa ama kuchomoka na hawezi kulazimisha la sivyo ama zake ama zao! Ameshika kwenye makali wameshika kwenye mpini!

Kumkoma nyani jiladi..!
Muda pekee ndio utaokoa ama kuzamisha jahazi ama la kudra za mwenyezi Mungu mweza wa yote!

Sent using Jamii Forums mobile app
ukikaidi ya hao ma-mastermind ndo unakufa,asa yeye afanyeje!!!
 
Niliwahi kuingizwa cha kike!
Nikachomekewa demu, nikaingia kichwa kichwa! Nikaambulia kuumbuliwa na aibu ya mwaka! Kuwafuata walioniiletalea msala wakanikimbia!

Wamemchomekea akasaini mikataba thenashara mara tatu kasoro 4.. Mmoja tu uliovuja umeshaleta taharuki kubwa sana! Haufai haufai haufai.. Vipi hiyo mingine 31 ya siri?
Inasemaje?
Itavuja lini?
Itasambazwa lini?
Masharti yake ni yapi?
Nknk
Kwa mtazamo wa haraka sana hiyo mingine 31 haina tofauti na huu wa 32.. Labda kwenye eneo husika
Miundo mbinu reli
Miundo mbinu airports
Miundombinu barabara
Miundombinu mawasiliano
Kilimo
Ufugaji
Maliasili madini
Maliasili misitu
Maliasili mbuga
Maliasili utalii
Maliasili maeneo ya kihistoria
Kodi
Utawala
Siasa
Elimu
Imani
Mingine siifahamu

Master mind wa hii mipango wapo lakini hawajitokezi waziwazi wanasukuma gari kwa nyuma mbele huwaoni ila unaona gari linasonga
Likikosea njia
Likifanya ajali
Likivunja sheria
Lawama ni kwake kwakuwa ndio wamemuweka kwenye usukani lakini hawezi kuwazoom hata kwenye sight mirror maana wako nyuma ama kwenye blind spot!
Wamemuingiza pabaya hawezi kuchomoa ama kuchomoka na hawezi kulazimisha la sivyo ama zake ama zao! Ameshika kwenye makali wameshika kwenye mpini!

Kumkoma nyani jiladi..!
Muda pekee ndio utaokoa ama kuzamisha jahazi ama la kudra za mwenyezi Mungu mweza wa yote!

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana?????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom