Wamemtia hasara kubwa sana Lowassa

Wamemtia hasara kubwa sana Lowassa

Alichokua anajaribu kufanya EL ni uwekezaji ktk siasa.sasa limebuma.mitaji aliyokopa kushnei. Nadhan asubiri kufa ili aje awekewe maua ya dhahabu

Lowasa ana pesa nyingi sana ni kama Raila odinga vicent vilivyotumika ni vidogo sana lipo fungu ambalo lilikuwa limeandaliwa kwa kampeni ambalo ni kubwa sana hiyo pesa haijatumika ataitumia kwenye mambo yake mengine.
 
Habari ndio hiyoooo#CHALIIIIIIIIIIII,biashara ya kuangaliana usoni hamna
 
Sio mbaya tuombe uzima ili agombee tena Awamu ya sita mwaka 2025-2030.

umri utakuwa umemtupa mkono sana.atakuwa ashakuwa kikongwe.
apumzike tuu kwa amani alikuwa hana nia njema na tanzania bali alikuwa na nia ya kulipa kisasi kwa wabaya wake.

samehe saba mara sabini na mpende adui yako yy hakuyajua haya
 
Nasoma tu koment najua kuna wabunge wengine wakilipwaa mafao ya ubunge watawekeza kwenye uchaguzi,tujiandae kwa misiba ya kitaifa presha haitowaacha
 
Lowassa mission zake nyingi huwa hazifanikiwi kwa mfano Arusha mjini alimuweka Batilda akaangukia pua, Arumeru akamuweka mkwewe Sioyi akaangukia pua vile vile, silaha yake kubwa ni hela ila hana mikakati mizuri ya ushindi anasahau kuwa pesa sio kila kitu. Kama kuna wagombea waliochaguliwa kiulaini kupeperusha bendera ya CCM basi Magufuli ni kama alimsukuma mlevi vile hajatumia gharama.
 
Tatizo lake hakuwa na plan B na inawezekana wapambe wake wengi walikuwa mamluki wa upande wa pili, ndio maana kikwete na wenzake wala hawajatumia nguvu nyingi kummaliza,
 
hakuna mtu aliyemtia hasara hiyo hasara ni ya kujitakia aliamini katika kununua uongozi bila kusahau siyo kila mtu ananunuliwa na pesa hilo ni fundisho kubwa kwa siasa za Tanzania
 
Hakuna bifu aliyechaguliwa ana sifa. Na wanasiasa mtambue kuwa Watanzania wamebadilika sana, pesa yenu watakula na kura hawatawapigia. Hongera ccm kwa kupata mgombea na kuidhihirishia dunia kuwa "ushindi bila rushwa inawezekana" Hakika mmetuletea heshima Tanzania. Na watu wote tujifunze, tuikatae rushwa.
 
kama vipi watu wawe waungwana wamrudishie hela zake huyu mzee zimuuguze uguze kidogo maana hali yake kiafya sio nzuri
Sasa hapa unataka kuwapa watu kazi ngumu! Waanze kupanda bodaboda toka mbeya kurudisha hela ambayo wameshakula? Wasameheni tuu ndo siasa hizo. Angalia kule S.Sudani watu wanavyoteseka, sababu ni siasa tu.
 
Back
Top Bottom