MSIMISEKI SENIOR
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 459
- 287
Last edited by a moderator:
Team yke edo sio wa2 wa plan za chinichini wengi waropokaji 2 wakipanga mikakati siri zinavuja.....walijua hela ndio fimbo yao sasa wa2 wamekula hela na urais kakosa.....cjui hali yke nw presha inapanda presha inashuka.
Sio mbaya tuombe uzima ili agombee tena Awamu ya sita mwaka 2025-2030.
Mkuu Tweenty4seven, Jasusi Apson ndio aliyemmaliza Lowassa..hawa watu ni hatari sana.
me nimepatia mtaji wangu hapo,saivi nina hardware yangu saaaafi nakula upepo tu,mafuriko yamemwondoa hahahah.
Uyu jamaa namsikia sana, alifanya nn hasa kukamilisha mpango huu.
Nasoma tu koment najua kuna wabunge wengine wakilipwaa mafao ya ubunge watawekeza kwenye uchaguzi,tujiandae kwa misiba ya kitaifa presha haitowaacha
Lowassa mission zake nyingi huwa hazifanikiwi kwa mfano Arusha mjini alimuweka Batilda akaangukia pua, Arumeru akamuweka mkwewe Sioyi akaangukia pua vile vile, silaha yake kubwa ni hela ila hana mikakati mizuri ya ushindi anasahau kuwa pesa sio kila kitu. Kama kuna wagombea waliochaguliwa kiulaini kupeperusha bendera ya CCM basi Magufuli ni kama alimsukuma mlevi vile hajatumia gharama.
Hakuna bifu aliyechaguliwa ana sifa. Na wanasiasa mtambue kuwa Watanzania wamebadilika sana, pesa yenu watakula na kura hawatawapigia. Hongera ccm kwa kupata mgombea na kuidhihirishia dunia kuwa "ushindi bila rushwa inawezekana" Hakika mmetuletea heshima Tanzania. Na watu wote tujifunze, tuikatae rushwa.
Atakua na miaka mingap?
Angepata hela ingerudi ndani ya mwaka tu.