njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,258
- 7,101
The biggest Loser in the history of this country . He won the Battle BUT lost the War. Kaanza kuomba kura kwa wananchi wakati muda bado. Ni sawa na mtu anotaka kuagiza gari ya gharama Japan halafu akaanza kulipa ushuru Tra wakati gari yenyewe ata hajanunua.
Lakini si kulikuwa na watu wanafunga safari mpaka nyumbani kwake kumshawishi agombee Urais..? wameishia wapi wale watu ...