Wamekata tena umeme, hawa watu bwana!

Wamekata tena umeme, hawa watu bwana!

Mkuu unahisi kwanini umeme unakatika katika hovyo au tuseme kuna mgao hasa kipindi hiki cha mwezi wa 10 kuja wa kumi na mbili?.

It's something with roots..Kutegemea maji tu kuzalisha..so hatuwezi kulaumu Serikali ya Samia isiyo hata na miaka miwili na tukaacha zilizopita..So point yako kuhusu Bashiru n.k haiapply hapa navyoona.
kuna moja ilipunguza tatizo ila hii sasa limekuwa noma aseee
 
MAGU tuliingia Cha kike.

Huyu mama tumepigwa....,
MAGU anachukiwa kwa makosa ya waliomtangulia , wakitengeneza kizaz cha kihuni chenye ndoto za shortcut , MAGU alitaka kurudisha mfumo sahihi ila kizaz kibov kikaanza muwekea upinzan na.ndio maana alifer baadhi ya idara ila kweny umeme alijitahidi ingawaje umeme wa mgao ulikuwepo ila haukuwa mkubwa kias hiki
 
Ndiga ni kiganda maana yake ni Kondoo si shangai kuwa na akili za kikondoo kama Wewe ndio maana nakuupuza kondoo wewe
Me siyo Mganda halafu jina halina maana yoyote hata kondoo angeitwa jiwe Leo hii tungemtambua kwa jina hilo.
Pole kwa kumiliki ubongo usiokuwa na akili wewe mkimbizi.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Kwani miezi mingine umeme huwa unakuwa wa shida kama kipindi hiki?..au unataka kusema umesahau pia na mwaka jana..miezi kama hii kulikuwa na shida kubwa ya Maji na Umeme..So lawama tuzipeleke kwenye awamu zote zilizopita na hii kwa kushindwa kutupatia umeme wa uhakika.
kipind cha JPM ilikuwa angalau kdg sio km hii ya SHS
 
Back
Top Bottom