Wamekata tena umeme, hawa watu bwana!

Wamekata tena umeme, hawa watu bwana!

Usitufanye hatuishi tanzania mkuu. Kwamba unasema mwezi gani sijui vitu gani ukame ukakausha umeme huko
Kwani miezi mingine umeme huwa unakuwa wa shida kama kipindi hiki?..au unataka kusema umesahau pia na mwaka jana..miezi kama hii kulikuwa na shida kubwa ya Maji na Umeme..So lawama tuzipeleke kwenye awamu zote zilizopita na hii kwa kushindwa kutupatia umeme wa uhakika.
 
Kwani miezi mingine umeme huwa unakuwa wa shida kama kipindi hiki?..au unataka kusema umesau pia na mwaka ja na..miezi kama hii kulikuwa na shida kubwa ya Maji na Umeme..so lawama tuzipeleke kwenye awamu zote zilizopita na hii kwa kushindwa kutupatia umeme wa uhakika.
Table manners zinakataza kula na kuongea. Mkuu lamba asali tu ila fix za ukame na miezi zako achana nazo
 
Kwani miezi mingine umeme huwa unakuwa wa shida kama kipindi hiki?..au unataka kusema umesau pia na mwaka ja na..miezi kama hii kulikuwa na shida kubwa ya Maji na Umeme..so lawama tuzipeleke kwenye awamu zote zilizopita na hii kwa kushindwa kutupatia umeme wa uhakika.
Mkuu binafsi nilikuwa natofautiana sana na Magu kwenye mambo mengi, ila kwenye swala la umeme tumpe sifa yake kwani aliweza kusimamia vyema
 
Habari inajieleza
Hata bila aibu haya majitu yamekata tena umeme na ukumbuke hayanaga aibu haya.
Yaani yanaamua tu kukata yalivo mabovu vichwani.
Watanzania wanatoa kongole zao...
FB_IMG_1669119731646.jpg
 
Maisha hubadili amini kua leo hii Kusini umeme tunaoupata umetulia kuliko Dar huko.wakikata wa gridi ,gesi inafanya yake leo siku nzima sijaona kukatika kwa umeme
 
Habari inajieleza
Hata bila aibu haya majitu yamekata tena umeme na ukumbuke hayanaga aibu haya.
Yaani yanaamua tu kukata yalivo mabovu vichwani.
Pole sana ndugu. Ngoja tusubiri kukamilika kwa ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Nyerere, labda hizi kero za umeme kukatika ovyo zitakwisha.
 
Habari inajieleza
Hata bila aibu haya majitu yamekata tena umeme na ukumbuke hayanaga aibu haya.
Yaani yanaamua tu kukata yalivo mabovu vichwani.
Achananayoo mitaaaaaaa
Tuuu toka asubuhi hatuna umeme afu yakoyakoo yakenyuuuuu

Uko wapi Mwamba kutoka chatooo


Jpm kiboko ya mapigaaa madiliii na mabeberu

Sasa ivii

Habari ni mikopo tuuuuuu
 
Back
Top Bottom