Wameishi miaka saba bila kufunga ndoa na wanataka kuachana.

Wameishi miaka saba bila kufunga ndoa na wanataka kuachana.

Chilogole

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2019
Posts
291
Reaction score
273
JF Habarini za asubuhi!!!
Rafiki yangu ni mfanya kazi na mkewe ni mfanyakazi pia wameishi miaka saba pasipo kufunga ndoa ya aina yoyote na sasa wanamgogoro wanataka kuachana wananyumba,wanamagari,viwanja na vingine vingi.
Je? Sheria ikoje kama wakiachana kwa sababu mwanamke anasema atafuata sheria na yeye ndo anatoa msukumo wa kutaka kuondoka. Wanasheria mnasemaje kuhusu Mali walizochuma je watagawana au Vipi? Kwenu wataalam
 
JF Habarini za asubuhi!!!
Rafiki yangu ni mfanya kazi na mkewe ni mfanyakazi pia wameishi miaka saba pasipo kufunga ndoa ya aina yoyote na sasa wanamgogoro wanataka kuachana wananyumba,wanamagari,viwanja na vingine vingi.
Je? Sheria ikoje kama wakiachana kwa sababu mwanamke anasema atafuata sheria na yeye ndo anatoa msukumo wa kutaka kuondoka. Wanasheria mnasemaje kuhusu Mali walizochuma je watagawana au Vipi? Kwenu wataalam
kama title zinasomeka majina yao wote wawili watagawana kama kila mali ina jina binafsi hakuna kugawana kila mtu anasepa kivyake na chake kama wana watoto mgawo utahusu watoto zaidi ambapo mali za kila mzazi zitatakiwa kumegwa kwa ajii ya watoto
 
kama title zinasomeka majina yao wote wawili watagawana kama kila mali ina jina binafsi hakuna kugawana kila mtu anasepa kivyake na chake kama wana watoto mgawo utahusu watoto zaidi ambapo mali za kila mzazi zitatakiwa kumegwa kwa ajii ya watoto
Title zote ni za mtoto wao na mwanaume yeye mwanamke hana umiliki wa kitu chochote kati ya vilivyonunuliwa
 
Title zote ni za mtoto wao na mwanaume yeye mwanamke hana umiliki wa kitu chochote kati ya vilivyonunuliwa
mtoto ana miaka mingapi kama bado mdogo chini ya miaka saba anatakiwa awe chini ya mama na mwanaume anatakiwa kuchangia matunzo na mwanamke naye anatakiwa kuchangia.Wote wanatakiwa wachangie matunzo.Kama mkubwa bado anasoma wote wawili wanatakiwa kuchangia gharama kama za ada nk sio jukumu la mzazi mmoja labda itokee mama hana kazi au baba hana kazi au kitu cha kumwingizia kipato,Kama ni mkubwa hasomi hapo aendelee na maisha na mali alizopewa na baba yake
 
Ukisha ishi na mwanamke/mwanaume kinyumba zaidi ya miaka 2 hiyo ni ndoa tayari Presumption of marriage....161 of LMA...kama sikosei
Hakuna kitu kama hicho.Sheria ya ndoa ilipopitishwa mwaka 1971 ilisema hivi kwa wale walioishi miaka miwili na zaidi kabla ya sheria hiyo ya ndoa kupitishwa watambuliwe kama wana ndoa.Baada ya sheria ya ndoa kupitishwa 1971 ina maana kuanzia hapo mtu anatakiwa afunge ndoa kutambuliwa kama ni mke au mume .Hao sio mke na mume hata kama wameishi miaka 20
 
Mtoto anamiaka 5 tu
mtoto ana miaka mingapi kama bado mdogo chini ya miaka saba anatakiwa awe chini ya mama na mwanaume anatakiwa kuchangia matunzo na mwanamke naye anatakiwa kuchangia.Wote wanatakiwa wachangie matunzo.Kama mkubwa bado anasoma wote wawili wanatakiwa kuchangia gharama kama za ada nk sio jukumu la mzazi mmoja labda itokee mama hana kazi au baba hana kazi au kitu cha kumwingizia kipato,Kama ni mkubwa hasomi hapo aendelee na maisha na mali alizopewa na baba yake
 
Mtoto anamiaka 5 tu
Huyo anatakiwa kisheria kuwa chini ya malezi ya mama hadi afikishe miaka saba unless mamaake ni kichaa au asiyeweza kutunza mtoto sababu kama za ulemavu nk lakini kwa umri huo anatakiwa kisheria kuwa chini ya mama.Ila gharama zake za matunzo kila upande unatakiwa kuchangia.Mwanamke na mwanaume
 
Nachukia sana mtu muongo haswa anaehitaji msaada kwa kusema ni mtu mwingine ndiye anahitaji....utasikia rafik yangu anaumwa gonjwa anahitaj msaada,rafiki/ndgu yangu ameeachika anaomba ushaur wa kisheria nk.
Hakuna mtu asiyepata matatizo so sioni haja kudanganya pia inabidi utambue ukisema tatizo ni la mtu nwingine halitopewa uzito kama ukisema ni lako wewe
 
Hakuna kitu kama hicho.Sheria ya ndoa ilipopitishwa mwaka 1972 ilisema hivi kwa wale walioishi miaka miwili na zaidi kabla ya sheria hiyo ya ndoa kupitishwa watambuliwe kama wana ndoa.Baada ya sheria ya ndoa kupitishwa 1972 ina maana kuanzia hapo mtu anatakiwa afunge ndoa kutambuliwa kama ni mke au mume .Hao sio mke na mume hata kama wameishi miaka 20
Sheria ya nchi gani hiyo!
 
Hakuna kitu kama hicho.Sheria ya ndoa ilipopitishwa mwaka 1972 ilisema hivi kwa wale walioishi miaka miwili na zaidi kabla ya sheria hiyo ya ndoa kupitishwa watambuliwe kama wana ndoa.Baada ya sheria ya ndoa kupitishwa 1972 ina maana kuanzia hapo mtu anatakiwa afunge ndoa kutambuliwa kama ni mke au mume .Hao sio mke na mume hata kama wameishi miaka 20
Na hyo maza atapata mali endapo zitakuwa na majina yake,
 
Hakuna kitu kama hicho.Sheria ya ndoa ilipopitishwa mwaka 1972 ilisema hivi kwa wale walioishi miaka miwili na zaidi kabla ya sheria hiyo ya ndoa kupitishwa watambuliwe kama wana ndoa.Baada ya sheria ya ndoa kupitishwa 1972 ina maana kuanzia hapo mtu anatakiwa afunge ndoa kutambuliwa kama ni mke au mume .Hao sio mke na mume hata kama wameishi miaka 20
Ficha ujinga kaka....utachekwa na wanaojua...kwanza hatuna sheria ya ndoa ya mwaka 1972....Tz tuna sheria ya ndoa ya mwaka 1971....iliyofanyiwa marejeo mwaka 2002....kifungu cha 160(1)....kipo wazi kimezungumzia presumption of marriage....to quote a few words Kwa faida yako kinanasema......where it is proved that a man and woman hv lived together for two years or more,in such circumstances to hv acquired a reputation of being husband and wife,there shall be rebuttable presumption that they were duly married...huwezi amini nimepaki range pembeni nakujibu ww...
 
Ficha ujinga kaka....utachekwa na wanaojua...kwanza hatuna sheria ya ndoa ya mwaka 1972....Tz tuna sheria ya ndoa ya mwaka 1971....iliyofanyiwa marejeo mwaka 2002....kifungu cha 160(1)....kipo wazi kimezungumzia presumption of marriage....to quote a few words Kwa faida yako kinanasema......where it is proved that a man and woman hv lived together for two years or more,in such circumstances to hv acquired a reputation of being husband and wife,there shall be rebuttable presumption that they were duly married...huwezi amini nimepaki range pembeni nakujibu ww...
Its true...
 
Ficha ujinga kaka....utachekwa na wanaojua...kwanza hatuna sheria ya ndoa ya mwaka 1972....Tz tuna sheria ya ndoa ya mwaka 1971....iliyofanyiwa marejeo mwaka 2002....kifungu cha 160(1)....kipo wazi kimezungumzia presumption of marriage....to quote a few words Kwa faida yako kinanasema......where it is proved that a man and woman hv lived together for two years or more,in such circumstances to hv acquired a reputation of being husband and wife,there shall be rebuttable presumption that they were duly married...huwezi amini nimepaki range pembeni nakujibu ww...
Saaaafiiii.... asante kwa kutusaidia na wengine.
 
kama title zinasomeka majina yao wote wawili watagawana kama kila mali ina jina binafsi hakuna kugawana kila mtu anasepa kivyake na chake kama wana watoto mgawo utahusu watoto zaidi ambapo mali za kila mzazi zitatakiwa kumegwa kwa ajii ya watoto

Mlumumba katika ubora wako. No wonder huwa mnatumia matamko badala ya sheria.
 
Back
Top Bottom