dikembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,645
- 1,439
Anapendeza sababu mchoraji ana kipaji na lazima achore vizuri ili kazi yake ipendwe zaidi ya hapo huyo ni pambo tu wala hana madhara...Ila nyoka wa kuchona huwa anapendeza kuliko halisi..Nawasiwasi ni msimamo wangu
Wala usimtilie shaka miss chagga yuko vzuri sana...Hapo kwenye red hapo? are you sure?
Ila huyo ndio mzuri kwani haleti wivu, ntakua namfuta vumbi namweka ndani,nkitoka nkirudi namkuta wala hazururi...hahahaAnapendeza sababu mchoraji ana kipaji na lazima achore vizuri ili kazi yake ipendwe zaidi ya hapo huyo ni pambo tu wala hana madhara...
Yah namwaminia, huyu jembe la kichaga.Wala usimtilie shaka miss chagga yuko vzuri sana...
Yah namwaminia, huyu jembe la kichaga.
Hapo kwenye red hapo? are you sure?
Hahaaa haya bwana....Ila huyo ndio mzuri kwani haleti wivu, ntakua namfuta vumbi namweka ndani,nkitoka nkirudi namkuta wala hazururi...hahaha
Nlishaonywa mapema lazima niwe na AK47, nimlinde Miss chagga wangu..Kweli mwaka huu nina bahati ya mtende. Namiliki such a beautiful
mimi nachukua kifaru kabisa
Ila najua biashara ya barber shop ndio itakua imekwisha, au utaniruhusu ?Nlishaonywa mapema lazima niwe na AK47, nimlinde Miss chagga wangu..Kweli mwaka huu nina bahati ya mtende. Namiliki such a beautiful
mimi nachukua kifaru kabisa
Makofi nshapiga na natamani nikuwee like ila mchina wangu anagoma sana sijui kwa ninNipe marks basi..piga makofi tafadhaali.
Hahaa...haya mkuu..like like like...ngoja nilale asiee kesho shule...msalimie miss chagga...Weka hata kwa kuandika ''like''...wewe unanipa raaaha...
Ila najua biashara ya barber shop ndio itakua imekwisha, au utaniruhusu ?
tunafungua ya kwetu nyumbani na bar nyumbani kama unakunywa pombe
Hahaa...haya mkuu..like like like...ngoja nilale asiee kesho shule...msalimie miss chagga...
Mh..unakumbuka Nurse..hahahaha. mkuu