Wameadhibiwa na dunia...

Wameadhibiwa na dunia...

Maisha yamebadilika kuna sababu mbalimbali ambazo zimewafanya baadhi ya kina dada kuthamini uchumi wa mtu.....utakuta mwingine alishamvumili mpz wake katika hali ngumu ila baada ya kufanikiwa akapigwa chini akatafutwa wa hadhi nyingine....kwahyo mtu kama huyu ameshajeruhiwa unadhani keshi atakuwaje? Kwahyo sababu ziko nyingi ingawa wengine ni hulka yao tu
Hizi revenge lazima ziwe na mipaka mkuu, baba alifanya kosa huwezi kumfunga mtoto. Msome mtu utamwelewa. mwisho wa siku unakua mtu wa kutangatanga na wanaume. Binafsi sipendi msichana anaetazama wallet yangu ina thickness kiasi gani, nitazame my contents mkuu. huwez jua nina thamani zaid ya hizo pesa mbuzi. So tuwe wavumilivu na tupende mtu sio pesa.
 
We si umechelewa kuoa na umri unazidi kusonga?????
Mwache jamaa ajivinjali kwa raha zake maana wewe huna mpango na huyo dada zaidi ya kumgegeda tu kila kukicha.
 
Hapana mkuu, ni makubaliano halali chini ya wanasheria wa mmu

hmmm!

kijana ninavyokujua kweli! utambakiza kubwa la maadui?? --- atafurukuta kwako kweli? -- lols!

nasubiri thread yako ya complaints and congratulation! -- kidding!
 
Hizi revenge lazima ziwe na mipaka mkuu, baba alifanya kosa huwezi kumfunga mtoto. Msome mtu utamwelewa. mwisho wa siku unakua mtu wa kutangatanga na wanaume. Binafsi sipendi msichana anaetazama wallet yangu ina thickness kiasi gani, nitazame my contents mkuu. huwez jua nina thamani zaid ya hizo pesa mbuzi. So tuwe wavumilivu na tupende mtu sio pesa.
Anakuwa amevurugwa kwa hiyo hayo mengine hata hajali anachojali ni pesa tu mengine kaa nayo mwenyewe...
 
Anakuwa amevurugwa kwa hiyo hayo mengine hata hajali anachojali ni pesa tu mengine kaa nayo mwenyewe...
Hapa kazi ipo kwelikweli, Dunia imepata wenyewe..Haya tutaona kama tutafika salama huko uzeeni.
 
Yaan hapo hakuna kujuanaa aisee sijui Mungu aliwekapo nini
Mh..ukiibiwa inauma hakuna mfano, utadhani ni sehemu ya mwili wako. Mtu mwingine anatumiwa kwa ridhaa yake wewe huku povu kwa hasira..Dah, maajabu
 
hmmm!

kijana ninavyokujua kweli! utambakiza kubwa la maadui?? --- atafurukuta kwako kweli? -- lols!

nasubiri thread yako ya complaints and congratulation! -- kidding!


Jf ni nyumbani, huku ndani wote ni kama ndugu zangu sitaki kuharibunyumbani... sitaki mambo ya kubadili username,
 
Back
Top Bottom