Wameadhibiwa na dunia...

Wameadhibiwa na dunia...

This should be noted and put in a virtual plaque, as evidence of your position on faith in further discussions.

Nope ....

Kwenye maisha ya kawaida kuna kamusi inayoweza kufafanua maana ya maneno yanayotumika humo

Kwenye dini kuna kamusi yake ambayo inafafanua maana ya maneno yanayotumika humo ambayo ni tofauti na kamusi ya maisha ya kawaida

Hayo ni maeneo mawili tofauti kabisa na unapozungumza ni muhimu ukayajua hayo!
 
We si unajidai mtumishi wa mungu? Iweje leo uchukue kauli ya atheist na kusema hayo maneno juu ya imani?

Nimekujibu lakini bahati mbaya sana hujakielewa nilichokujibu

Kama hujakielewa hicho sidhani kama hata nikikuambia kitu kingine kama utaweza kunielewa!
 
Epuka usumaku wa mapenzi...ni hatari sana.

Alipo mwanaume na mwanamke huwa kuna uvutano mkubwa,wapo wawezao kuushinda,pia wapo dhaifu waishiao kuvutika kama mkeo na rafikio.

Pole sana.
 
Ya nini kujichosha wakati maisha yenyewe mafupi....ah mim najilia ujana wangu....
Good idea..kula ujana mama. Hakuna maisha mengine, tunaishi kwenye ndoto zetu, hakuna tena kuota. Bt if uko above 25.
 
Epuka usumaku wa mapenzi...ni hatari sana.

Alipo mwanaume na mwanamke huwa kuna uvutano mkubwa,wapo wawezao kuushinda,pia wapo dhaifu waishiao kuvutika kama mkeo na rafikio.

Pole sana.

point noted..thnks mkuu
 

Attachments

  • flash d.jpeg
    flash d.jpeg
    15.3 KB · Views: 36
  • beer.jpg
    beer.jpg
    5.1 KB · Views: 65
Good idea..kula ujana mama. Hakuna maisha mengine, tunaishi kwenye ndoto zetu, hakuna tena kuota. Bt if uko above 25.
Hahaa niko above 35 si unajua mjini kila mtu baby...
 
Usilalamike saaana kwa Mkeo ndo mwenye Makosa. Ila kama vp, na ww fanya mpango mchapie, ili iwe siri ya ndani kwake pia.
 
Usilalamike saaana kwa Mkeo ndo mwenye Makosa. Ila kama vp, na ww fanya mpango mchapie, ili iwe siri ya ndani kwake pia.
Aksante mkuu, ila sijasema ni mke wangu, she is my girlfriend,,,
 
Nope ....

Kwenye maisha ya kawaida kuna kamusi inayoweza kufafanua maana ya maneno yanayotumika humo

Kwenye dini kuna kamusi yake ambayo inafafanua maana ya maneno yanayotumika humo ambayo ni tofauti na kamusi ya maisha ya kawaida

Hayo ni maeneo mawili tofauti kabisa na unapozungumza ni muhimu ukayajua hayo!

Yeah,

But not when you are giving your definitive positon on faith.
 
Back
Top Bottom