Wamasai wa leo

Wakulonga

JF-Expert Member
Oct 29, 2012
762
772
Moja kati ya vivutio vya watalii wanapokuja Tanzania ni wamasai. Sasa wamasai kadri siku zinavyosonga naona wanapoteza ile thamani halisi ya tamaduni zao na kuiga tamaduni zingine.

Leo unaweza mkuta mmasai ana T-shirt na jeans. Mara ana madini shingoni, mara ana smartphone. Sasa kweli watalii watavutiwa na utalii huu wa kuwaona wana madini shingoni.

Mmasai lake rungu na sime na shanga mwilini.
5E51CDF8-0CA0-4F16-A8F7-36D3892628CD.jpeg
23F0D778-6DCF-4DE7-A958-0E35A7008C5A.jpeg
FF6FE739-4606-46EF-9CAF-8F65B0D5CCBD.jpeg
 
Nenda Ngorongoro ndani kule bado utawakuta wale OG kabisa na ndio kivutio chenyewe cha utalii, sio hawa wa mjini wanaokula wali samaki.
Hata wale ni wa kuigiza unakuta wanamwaga yai aibu sasa wamasai utawakuta wapi hapa Tanzania wanamwaga udhungu
 
Utandawazi unawaathiri, hawataki kupitwa, hata kazi ya kulinda siku hizi hawaipendi.
 
Huwezi kuzuia mabadiliko,hata ulivyo wewe sasa hukuwa hivyo miaka 10 nyuma
 
Acha tu utamaduni wao uishe maana walikuwa wananikera sana,kila mzungu akija anaongelea wamasai inamaana sisi makabila mengi hatuonekani,ngoma imeisha.
 
Back
Top Bottom