Jaribu kuuliza ukoo wako ! Chimbukoko lao ni wapiii!! Acha kusema mila za wengine!! Kila mtu ana mila yao!
Ushaanza shoboJiungeni na Kenya!..sehemu zote za nyanda za juu ya nchi hiyo ambayo ni ardhi ya wamaasai,zilipaswa kua Kenya.huku tunawaheshimu wamaasai sana!....mji wetu mkuu ni makazi ya wamaasai!......Kenya yawapenda wamasai wote duniani!
😀.........KENYA HAKUNA MATATA!
Nawakubali sana Ila ni watani zanguPamoja na kuiingizia nchi matrilioni kupitia utalii. Lakini pindi tu mtu anajua wewe ni mmasai anaanza dharau za ghafla. Kama vile umejinyea. Shida ni nini wandugu? Au kwa sababu tunavaa lubega? Sisi wote ni watanzania.