Pole sana kwa utakayo Kutana nayo umu ndaniPamoja na kuiingizia nchi matrilioni kupitia utalii. Lakini pindi tu mtu anajua wewe ni mmasai anaanza dharau za ghafla. Kama vile umejinyea. Shida ni nini wandugu? Au kwa sababu tunavaa lubega? Sisi wote ni watanzania.
UPDATE 30.01.2019
Wamasai wengi ni watu wenye uelewa mkubwa kushinda makabila mengi hapa nchini, hususani wavaa KOBAZI na washindia ubwabwa, kutwa kuongeza wake huku nguvu zenyewe hamna. ACHENI DHEREU.
Na sisi wa kanda ya ziwa utukomboejeTutawakomboa wamaasai wetu wote toka utumwani, kama tulivyo wakomboa wabantu na wazigua wa kule Somalia ambao ni vizazi vya watanganyika.
Bila kusahau wenzetu wa kanda ya ziwa!
Ipo siku
Wa Masai awajazoe kufanya kaz ngum wenyewe wamezoea kaz nyepesi kutembeza dawa kulinda, ndiyo mahana miili yao aipo strongMkiacha kazi za magetini na kusuka kina dada, kutengeneza shanga mfanye kazi za kiume kama kujenga kubeba zege hiv tutawaheshimu...