Wamasai mna balaa nyie

Wamasai mna balaa nyie

Rog3rz

Member
Joined
Jun 21, 2012
Posts
44
Reaction score
26
Mmasai na mwanajeshi wanapigana,,mmasai karusha mkuki mwanajeshi kaudaka kauchomeka chini,,mwanajeshi nae karusha bomu..mmasai kalidaka kalibamiza chini..wajua kilichomtokea.....chaliiiiii
 
Balaa si bomu ni pale alipoagiza cocacola then akamwambia mhudumu bomoa hiyo illipofunguliwa akamwambia bima ya hamusini.
 
Mmasai na mwanajeshi wanapigana,,mmasai karusha mkuki mwanajeshi kaudaka kauchomeka chini,,mwanajeshi nae karusha bomu..mmasai kalidaka kalibamiza chini..wajua kilichomtokea.....chaliiiiii

Wewe ndo unatakiwa utueleze kilichotokea
 
mi nahisi hapo alipandisha mori... akarushwa mpaka heaven! na hakurudi tena!
 
Masikini eeeeeeeeeero wa watu ndo adios tena mama yeyo hakuoni tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom