TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,251
- 2,035
Jamani nyie wamama itikieni salamu inavyostahili. Ni hivi hapa ofisini kuna staff wamama baadhi sio wote ukiwasalimia shikamoo badala ya kuitikia marahaba unakuta anaitika nzuri /salama as if umemwambia habari yako. Kuna yeyote anakutana na hali hii na unadhani ni kwanini?