Wamama itikieni mnapoamkiwa

Wamama itikieni mnapoamkiwa

Nikiwa kidato cha pili kipindi cha utawala wa rais mwinyi (usiniulize mwaka) nilimtembelea classmate nikatoa shikamoo kwa dadake ambaye alikuwa kibonge fulani hivi. Mshikaji akanicheka sana akasema yaani huyo dadake ni digo sana na yupo darasa la sita........,...toka siku hiyo natoa shikamoo kwa wanawake rafiki na mama tu tena mpaka aanze '' hujambo mwanangu!"
 
Jibu liko wazi wala si la kufichana Wa baba wakisema MAMBO na Wa mama wakikwambia kwani mimi mama yako kwa sehemu kubwa wanatengeneza mazingira ya kutongozwa au kukupata kimapenzi
Hakuna jingine hapo ni mapenzi tu.
 
Jamani nyie wamama itikieni salamu inavyostahili. Ni hivi hapa ofisini kuna staff wamama baadhi sio wote ukiwasalimia shikamoo badala ya kuitikia marahaba unakuta anaitika nzuri /salama as if umemwambia habari yako. Kuna yeyote anakutana na hali hii na unadhani ni kwanini?
Kwani unataka kumnyima nini?
 
me mwenyew huwa nasalimia naambiawa SALAMA BABA kwema??..duh
 
unamwamkia unataka kumnyima nini ? mama yao ni yule alieyekuzaa tu
 
Nikiwa kidato cha pili kipindi cha utawala wa rais mwinyi (usiniulize mwaka) nilimtembelea classmate nikatoa shikamoo kwa dadake ambaye alikuwa kibonge fulani hivi. Mshikaji akanicheka sana akasema yaani huyo dadake ni digo sana na yupo darasa la sita........,...toka siku hiyo natoa shikamoo kwa wanawake rafiki na mama tu tena mpaka aanze '' hujambo mwanangu!"
Hujambo mwanangu ila uniamkie shkamoo baba,sio mama
 
Nilikuwa nami nina tabia ya kusalimia Shikamoo hawa wamama rika za mama zetu kuna siku nikamsalimia mama mmoja, nilichojibiwa ni kuwa "Kwani mimi mama yako"?

Tangu hapo huwa sisalimii Kwa "shikamoo" hovyo hovyo labda niwe nakufahamu lakini sikufahamu salamu yangu ni "jamani kwema"?, imetosha ukiitikia usipoitikia ni juu yako.
Wewe kama mimi ,shikamoo huwa namsalimia mtu nayemjua
 
Ukiona hivyo ujue anataka kugongwa. Kwa hiyo omba mchezo mapema tu unajigongea. Acha kushangaa wewe.
 
Mimi baadhi nikiwasalimia huwa wananijibu "NATAKA KUWANYIMA NINI"...nilishaacha labda uwe unanihusu kiundugu au heshima
 
Back
Top Bottom