fundiumeme74
Member
- Sep 5, 2017
- 86
- 181
Mama ni aliye na mtoto, hata awe na miaka 70 kama hana mtoto hupaswi kumuita mama wakati bado anatafuta.Kwani ww ni binti au mmama?......
Mama ni aliye na mtoto, hata awe na miaka 70 kama hana mtoto hupaswi kumuita mama wakati bado anatafuta.Kwani ww ni binti au mmama?......
Ungemtukana ili achukie.Mama mmoja nlimwambia shkamoo mama akanijibu,"kua na we upate yako!"
Nhahahahaa umenikumbusha mmama wa ofisini hataki shikamoo ukimchapa shkamoo anapotezea alafu ananzisha story zengineJamani nyie wamama itikieni salamu inavyostahili. Ni hivi hapa ofisini kuna staff wamama baadhi sio wote ukiwasalimia shikamoo badala ya kuitikia marahaba unakuta anaitika nzuri /salama as if umemwambia habari yako. Kuna yeyote anakutana na hali hii na unadhani ni kwanini?

Wengine makunyanzi had miguuni halafu useme ni umbo tu!*Habari..
*Za saa hizi....
Wanawake wanakuwa haraka na maumbo makubwa, pia katika kuzaa wanawahi hivyo maumbo yao yasikutishe kutoa shkamoo kizembe zembe. Wengine wadogo zako
hahaaaaa!Kuamkiwa ndo mwanzo wa kunyimwa tamu.
We unawaza nin?kama sio ngono nfate nkupe helaaJamani nyie wamama itikieni salamu inavyostahili. Ni hivi hapa ofisini kuna staff wamama baadhi sio wote ukiwasalimia shikamoo badala ya kuitikia marahaba unakuta anaitika nzuri /salama as if umemwambia habari yako. Kuna yeyote anakutana na hali hii na unadhani ni kwanini?
Lazima uitikiee salam bhn mkuu tena salam yakijana kwa mmama mtu mzimaaHatutaki! Kwani lazima mkuu??!