RICH OIL SHEIKH
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 883
- 167
Mkuu nadhani hujaelewa madai ya msingi ya wamakonde, viwanda na miundombinu ya kuprocess gasi vijengwe Mtwara - then safirisheni hadi Butiama. Hatujaona dhahabu ikachimbwa Bulyanhulu ikaletwa kusafishwa DSM. Wamakonde tunatamani sana kwenda kula sikukuu hizi kwetu, lakini mvua hizi baahhh ....siku 3 kufika Mtwara. Kama bandari ipo ni kuiboresha tu, barabara ya kusini haiishi toka niko mtoto napelekwa jando mpaka sasaiv na mi naitwa baba, reli waling'oa. WHY ALWAYS KUSINI TU????Huu sasa upuuzi. Kila yakinguduliwa mafuta au gesi watu wanataka nchi yao. Ajabu watu hao hao wamefaidi raslimali nyingine kama madini na mbuga za wanyama vilivyoko mikoa mingine bila malalamiko. Ingawa tunajua mnasumbuliwa na umaskini na ujinga, tusiendekeze njaa na ujuha wa changu changu chako chetu au chako kitamu changu kichungu. Mtwara hawajanyimwa fursa ya kufaidika na gesi bali ukweli kuwa hakuna miundombinu ya kufanikisha uuzaji wa gesi husika. Ni ajabu kuwa kila mjinga anadhani yakigunduliwa mafuta au gesi basi sehemu yake itageuka Dubai overnight bila hata mipango!