Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Jamaa kaenda kununua mananasi kwa mmakonde ili akatengeneze juice, akamuuliza mmakonde nanasi moja sh ngapi? Mmakonde akasema kila moja sh 500,Jamaa akamwambia nipe ya sh elfu ishirini, ndipo mabishano yakaanza,mmakonde akadai "Ukichukuwa yote mi ntabaki nauza nini sasa"? Bora Uchukue hata ya sh elfu tano tu"!