Waluyha na msosi

BE954543-C09C-42FB-AA30-C5E318377CDE.jpeg
 
Huwa mara kadha natazama Churchill show.

Nikiwa Kijana mdogo nimeishi na Waluyha kama jirani zetu, nafahamu upenzi wao kwa chai. Nakumbuka wakati flani kuna Mluyha aliniambia akinywa chai analima sana kuliko kawaida.

Siku hizi mara kadhaa ukitizama Churchill show unaona Waluyha wanataniwa sana juu ya kupenda msosi.

Ni kweli kwamba Waluyha ni 'walevi' sana wa msosi?
Angalia hii nyimbo, inajibu maswali yako yote



edit: Naona Pingli-Nywee alishaipost lakini tazama tena kam ulikua haujaiona
 
Si wasukuma na waluhya tu hata wahaya hapa Tanzania wanakula sana. Ukiona sahani ya ndizi na senene anayokula Muhaya mmoja utashangaa, utafikiri ana wenzake 10 kumbe ni yeye tu na anamaliza na panzi wake wote hata mabawa habakizi. Wahaya wanakula sana na ni wachoyo wa asili.
 
Si wasukuma na waluhya tu hata wahaya hapa Tanzania wanakula sana. Ukiona sahani ya ndizi na senene anayokula Muhaya mmoja utashangaa, utafikiri ana wenzake 10 kumbe ni yeye tu na anamaliza na panzi wake wote hata mabawa habakizi. Wahaya wanakula sana na ni wachoyo wa asili.

Very true,
 
Si wasukuma na waluhya tu hata wahaya hapa Tanzania wanakula sana. Ukiona sahani ya ndizi na senene anayokula Muhaya mmoja utashangaa, utafikiri ana wenzake 10 kumbe ni yeye tu na anamaliza na panzi wake wote hata mabawa habakizi. Wahaya wanakula sana na ni wachoyo wa asili.
Una chuki binafsi siyo bure
 
Back
Top Bottom