The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,843
- 3,259
Waluhya huwa wanasema wali pia ni wa kulambwa kama sukari.
Waluhya huwa wanasema wali pia ni wa kulambwa kama sukari.
ASANDE YESU... Hivi Gor ime originate kwa Waluhya?
Haaaa.......... Hapana. "Asande" inatokana na mother-tongue interference. We're different but same mashemeji.ASANDE YESU... Hivi Gor ime originate kwa Waluhya?
Acha tule raha wewewillyTrinidad, man you just went over the line with that one, pull it down bro. I beg.
Hahaha man take it easy it’s a joke. The pic pulled directly from Facebook, actually my Luhya friend posted itwillyTrinidad, man you just went over the line with that one, pull it down bro. I beg.
Wacha tuu wakati nyahunyo zitaanza kuna watu watatii. Ile nguvu ya rugby ndio itatumika sasa!...Guys ....just stop! This is not funny!!
We usikosee kumuandalia mluhya wali na kuku -ndugu yangu umeamua kunilaza na njaa-Ingokho na ugali!Waluhya huwa wanasema wali pia ni wa kulambwa kama sukari.
Angalia hii nyimbo, inajibu maswali yako yoteHuwa mara kadha natazama Churchill show.
Nikiwa Kijana mdogo nimeishi na Waluyha kama jirani zetu, nafahamu upenzi wao kwa chai. Nakumbuka wakati flani kuna Mluyha aliniambia akinywa chai analima sana kuliko kawaida.
Siku hizi mara kadhaa ukitizama Churchill show unaona Waluyha wanataniwa sana juu ya kupenda msosi.
Ni kweli kwamba Waluyha ni 'walevi' sana wa msosi?
Si wasukuma na waluhya tu hata wahaya hapa Tanzania wanakula sana. Ukiona sahani ya ndizi na senene anayokula Muhaya mmoja utashangaa, utafikiri ana wenzake 10 kumbe ni yeye tu na anamaliza na panzi wake wote hata mabawa habakizi. Wahaya wanakula sana na ni wachoyo wa asili.
Una chuki binafsi siyo bureSi wasukuma na waluhya tu hata wahaya hapa Tanzania wanakula sana. Ukiona sahani ya ndizi na senene anayokula Muhaya mmoja utashangaa, utafikiri ana wenzake 10 kumbe ni yeye tu na anamaliza na panzi wake wote hata mabawa habakizi. Wahaya wanakula sana na ni wachoyo wa asili.
Una chuki binafsi siyo bure