Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Wee Jamaa umenichekesha sana leo.
Wee Jamaa umenichekesha sana leo.
Hawa ni ndugu zetukabisahawa watakuwa na undugu na wasukuma
Hehehe!! Hapo kweli bila herufi 'U' kukuzwa ni ukosefu wa hesima, halaafu kunao Wasukuma Tz hutaniwa sana kwenye hili la Ugali, check picha zao...Hadi nahisi njaa sasa, ila hata mimi likija suala huu msosi wa 'Ukali' sipendi utani maana kawaida lazima niuchezee...
Wasukuma wanaita (ngokolo)Hawa ni ndugu zetukabisa
Waluhya huwa wanasema wali pia ni wa kulambwa kama sukari.Ahaaa haaa haaa
mi naona hawa jamaa nina unasaba nao.
MAANA mimi kipindi chote nakua nilikuwa sijawahi ona mtu anakula chips na kweli anaenda kulala usiku.
kula chips nimeanzia university.
miaka yote ni dona tu.
Tunaita ngokoloWasukuma wanaita (wamwidebe)
asanteTunaita ngokolo
Tuko pamojaasante
Waluhya huwa wanasema wali ni wa kulambwa kama sukari.
Obusuma, hilo ndio jina la sima kwa kiluhya. Tena wife akicheza anarudi jikoni akilia.Ahaaa haaa haaa
kwa hiyo ukiwapa wali, inabidi wife tena arudi jikoni ili akaandae nguna.
Obusuma, hilo ndio jina la sima kwa kiluhya. Tena wife akicheza anarudi jikoni akilia.
Hahaha! Kali sana. Najua shemeji zetu hawatamaindi sana nikimalizia na hii , moja ya mwisho.Wakati ule kukipikwa wali home lazima ugali pia upikwe kwa ajili ya Baba yangu. Ataanza kidogo na wali halafu anamalizia ugali
Hahaha! Kali sana. Najua shemeji zetu hawatamaindi sana nikimalizia na hii , moja ya mwisho.