platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,154
Huwa mara kadha natazama Churchill show.
Nikiwa Kijana mdogo nimeishi na Waluyha kama jirani zetu, nafahamu upenzi wao kwa chai. Nakumbuka wakati flani kuna Mluyha aliniambia akinywa chai analima sana kuliko kawaida.
Siku hizi mara kadhaa ukitizama Churchill show unaona Waluyha wanataniwa sana juu ya kupenda msosi.
Ni kweli kwamba Waluyha ni 'walevi' sana wa msosi?
Nikiwa Kijana mdogo nimeishi na Waluyha kama jirani zetu, nafahamu upenzi wao kwa chai. Nakumbuka wakati flani kuna Mluyha aliniambia akinywa chai analima sana kuliko kawaida.
Siku hizi mara kadhaa ukitizama Churchill show unaona Waluyha wanataniwa sana juu ya kupenda msosi.
Ni kweli kwamba Waluyha ni 'walevi' sana wa msosi?