Wallet za Kiume zimerudi

Wallet za Kiume zimerudi

Hela zikija ndo ziandae mazingira sio kidogo ulichonacho kiishe tena
Kweli madam. Basi siku ukitusua naomba nikumbuke uniungishe. Maisha ni kama 3 Mzuka, ukitoka wewe tumetusua wote.
 
Wallet inadhalilisha sana...konda anaomba nauli jidume unatoa wallet ina buku 3 Tu na ndo hiyohiyo!... wenye nazo inawafaa hiyo
 
Kama ni "pure leather" na sio hizi kanyaboya za Kkoo, elfu ishirini ni bei cheap kiasi.


PU-Leather mkuu. Niliteta Original kujaribu soko piece 5 tu nilinunua kwa USD 36 kila moja ukitoa usafiri na trasaction za bank, nikawa nauza laki 1 nimeishia kuuza kwa hasara na mkopo na nyingine 2 kutumia mwenyewe.

Hizi ni PU-Leather (polyurethane).
 
Wakuu au wallet zangu mbaya next time nijipange kuja na model nyingine?

Ukizijaribu usiporidhika unaleta mrejesho. Tutagawana hasara. Mi ntarefund 50% na wallet utakaa nayo.
 
Mkuu kwa Arusha sidhani labda wewe awe na jamaa DSM tufanye nae biashara yeye atakutumia.
Dah hapo ndio utata sin mtu wa kumtumia kwa dsm, usawa huu ukimpa hela ndugu au rafiki eti ya wallet unamtafuta tu lawama, shukrani nilikua nahitaji moja tena ingefaa leo hii, nitajaribu kutafuta huku kama kuna wengine wanazo
 
PU-Leather mkuu. Niliteta Original kujaribu soko piece 5 tu nilinunua kwa USD 36 kila moja ukitoa usafiri na trasaction za bank, nikawa nauza laki 1 nimeishia kuuza kwa hasara na mkopo na nyingine 2 kutumia mwenyewe.

Hizi ni PU-Leather (polyurethane).
Pole sana mkuu,kwa hiyo unatembea na wallet mbili mkuu!!!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom