Wallah!! Siitaki tena CCM

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Wana jamvi, kabla ya yote niseme kwamba nilikuwa mwanachama wa CCM.
Nimeamua kuvua magamba niliyokuwa nayo CCM na sasa naangalia upepo unavyokwenda nikiwa nje ya Chama Cha Magamba. Kifupi ni kuwa nimekichukia vibaya as if sijawahi kuwa mwanachama wake.

Zamani tulizowea kuwazushia uongo wapinzani kwa kuwaita wakabila(Enzi za NCCR na CDM), wadini(CUF), wajimbo(UDP) na pia kusema kuwa wapinzani wanaendesha vyama vyao kama kampuni.

Leo hii tuhuma zote mbaya zipo CCM. CCM ni waroho wa madaraka(tazama sasa wanavyotoana macho kwa ajili ya urais). CCM ni waroho wa fedha na wachumia tumbo(tazama issue ya posho za vikao zilivyowatoa roho).

Mzee Malecela mwaka 1995 aliwahi kukaririwa akisema, CCM itatawala miaka 50 mbele, akiwa na maana hadi mwaka 2045. Nadhani mzee huyu alikosea hesabu na inawezekana alikusudia CCM itatawala mwisho 2010.

Tazama, Samwel Sitta anawananga wabunge wa upinzani ambao walikuwa wanachukua sitting allowance ktk bunge lililopita. INANISHANGAZA. mzee huyu amezeeka vibaya sana. Kwani haiwezi kutokea mtu akawa muovu lakini baada ya muda akaamua kuacha uovu na kumrejea Mungu wake? UBAYA UKO WAPI!!! Mbona yeye aliwahi kumuita naibu spika wake kuwa ni mtu wa kukurupuka lakini baadae alimuomba radhi na akasamehewa.

Sasa hivi ni aibu kwa kijana kuwa CCM, labda kwa wenye vyeo kama Nape, Januari, Bashe, Malisa na wengine kama wao. Leo hii si ajabu kukuta mtu anakwenda kwenye kikao cha UVCCM akiwa na nguo mbili. Moja(ya kawaida) anaivaa pindi akitoka nyumbani na wakati wa kurudi na ile inayoonesha kuwa ni mwanaCCM anaivaa katika kikao tu, akitoka anaivua na kuiweka ktk begi.

NIMETAFAKARI KWA UMAKINI, NA KWA MUDA SASA. CCM haitufai. Nakaa pembeni
 
Wana jamvi, kabla ya yote niseme kwamba nilikuwa mwanachama wa CCM.
Nimeamua kuvua magamba niliyokuwa nayo CCM na sasa naangalia upepo unavyokwenda nikiwa nje ya Chama Cha Magamba. Kifupi ni kuwa nimekichukia vibaya as if sijawahi kuwa mwanachama wake.

Zamani tulizowea kuwazushia uongo wapinzani kwa kuwaita wakabila(Enzi za NCCR na CDM), wadini(CUF), wajimbo(UDP) na pia kusema kuwa wapinzani wanaendesha vyama vyao kama kampuni.

Leo hii tuhuma zote mbaya zipo CCM. CCM ni waroho wa madaraka(tazama sasa wanavyotoana macho kwa ajili ya urais). CCM ni waroho wa fedha na wachumia tumbo(tazama issue ya posho za vikao zilivyowatoa roho).

Mzee Malecela mwaka 1995 aliwahi kukaririwa akisema, CCM itatawala miaka 50 mbele, akiwa na maana hadi mwaka 2045. Nadhani mzee huyu alikosea hesabu na inawezekana alikusudia CCM itatawala mwisho 2010.

Tazama, Samwel Sitta anawananga wabunge wa upinzani ambao walikuwa wanachukua sitting allowance ktk bunge lililopita. INANISHANGAZA. mzee huyu amezeeka vibaya sana. Kwani haiwezi kutokea mtu akawa muovu lakini baada ya muda akaamua kuacha uovu na kumrejea Mungu wake? UBAYA UKO WAPI!!! Mbona yeye aliwahi kumuita naibu spika wake kuwa ni mtu wa kukurupuka lakini baadae alimuomba radhi na akasamehewa.

Sasa hivi ni aibu kwa kijana kuwa CCM, labda kwa wenye vyeo kama Nape, Januari, Bashe, Malisa na wengine kama wao. Leo hii si ajabu kukuta mtu anakwenda kwenye kikao cha UVCCM akiwa na nguo mbili. Moja(ya kawaida) anaivaa pindi akitoka nyumbani na wakati wa kurudi na ile inayoonesha kuwa ni mwanaCCM anaivaa katika kikao tu, akitoka anaivua na kuiweka ktk begi.

NIMETAFAKARI KWA UMAKINI, NA KWA MUDA SASA. CCM haitufai. Nakaa pembeni
Be serious and have a choice of your heart.
 
Wana jamvi, kabla ya yote niseme kwamba nilikuwa mwanachama wa CCM.
Nimeamua kuvua magamba niliyokuwa nayo CCM na sasa naangalia upepo unavyokwenda nikiwa nje ya Chama Cha Magamba. Kifupi ni kuwa nimekichukia vibaya as if sijawahi kuwa mwanachama wake.

Zamani tulizowea kuwazushia uongo wapinzani kwa kuwaita wakabila(Enzi za NCCR na CDM), wadini(CUF), wajimbo(UDP) na pia kusema kuwa wapinzani wanaendesha vyama vyao kama kampuni.

Leo hii tuhuma zote mbaya zipo CCM. CCM ni waroho wa madaraka(tazama sasa wanavyotoana macho kwa ajili ya urais). CCM ni waroho wa fedha na wachumia tumbo(tazama issue ya posho za vikao zilivyowatoa roho).

Mzee Malecela mwaka 1995 aliwahi kukaririwa akisema, CCM itatawala miaka 50 mbele, akiwa na maana hadi mwaka 2045. Nadhani mzee huyu alikosea hesabu na inawezekana alikusudia CCM itatawala mwisho 2010.

Tazama, Samwel Sitta anawananga wabunge wa upinzani ambao walikuwa wanachukua sitting allowance ktk bunge lililopita. INANISHANGAZA. mzee huyu amezeeka vibaya sana. Kwani haiwezi kutokea mtu akawa muovu lakini baada ya muda akaamua kuacha uovu na kumrejea Mungu wake? UBAYA UKO WAPI!!! Mbona yeye aliwahi kumuita naibu spika wake kuwa ni mtu wa kukurupuka lakini baadae alimuomba radhi na akasamehewa.

Sasa hivi ni aibu kwa kijana kuwa CCM, labda kwa wenye vyeo kama Nape, Januari, Bashe, Malisa na wengine kama wao. Leo hii si ajabu kukuta mtu anakwenda kwenye kikao cha UVCCM akiwa na nguo mbili. Moja(ya kawaida) anaivaa pindi akitoka nyumbani na wakati wa kurudi na ile inayoonesha kuwa ni mwanaCCM anaivaa katika kikao tu, akitoka anaivua na kuiweka ktk begi.

NIMETAFAKARI KWA UMAKINI, NA KWA MUDA SASA. CCM haitufai. Nakaa pembeni
Hongera sana kwa maamzi yako sahihi, naamini hujakosea...Karibu CHADEMA kwenye chama makini..
 
karibu sana chadema! siku nilipoachana na ccm na kuchukua kadi ya chadema nilijisikia kuzaliwa mpya..... yaani sasa ni mtu huru! yaani kama vile mtu aliyeokoka!
 
Ndugu, ngoja tudeal na hii ya Rostam kwanza....ile sredi ita-jam sasa hivi, members wote wapo kule!! Huku tutakuja badae!!
 
Hongera zako Mkuu kwa kuweza kusoma alama za nyakati mapema na pia kuzigundua propaganda za CCM ambazo hazina mshiko kuudanganya umma wa Watanzania kwamba CHADEMA ni Chama cha Wachagga na Wakristo ili wao waendelee kubaki madarakani na kuiifilisi nchi kwa ufisadi.
 
Hata wewe kama mpaka leo ulikuwa bado CCM lazima kuna kitu tu ulikuwa unafaidika nacho huko. Kwa kuwa naamini kabisa hakuna kijana aliyekwenda shule ambaye anayeweza kuisapoti CCM kwa kuwa lazima atakuwa anajua maovu waliyo na wanayoendelea kuwafanyia watanzania. Hawana huruma hata kidogo na Watanzania, ni Walafi halafu wengi Upeo wa kujenga hoja za maana hawana zaidi ya Wabunge wao kuzomea na kutumia wingi wao bungeni kupitisha kitu chochote hata kama ni kibaya kwa Wananchi so long as kimeletwa na Serikali.
 
Ndugu, ngoja tudeal na hii ya Rostam kwanza....ile sredi ita-jam sasa hivi, members wote wapo kule!! Huku tutakuja badae!!

naunga mkono hoja, hii ai'update badae kidogo, ila kitendo chake cha kujitoa kwenye gamba CCM ni cha kishujaa zaidi kuliko hata kujivua gamba kwa yule mwizi RA.
 
Hongera karibu kwetu huku TLP Tuendeleze vita na magamba si unamwona mwenyekiti wetu anavyopambana
 
mkuu sema akili zinatofautiana tuu kila mtu ataihama ccm including MS isipojisafisha kwa dhati!
 
Karibu mwana mpotevu, ulikujaga kuwaje ukawa gamba?? Kule waacha makada wenyewe akina 6, wakilala wanaongea hili wakiamka wanaongea lile kama wamerogwa yani kama popo ndege si ndege mamalia si mamalia. Mweh!!!
 
Nakushauri uachane ya tabia ya ki-shibuda shibuda na ki-mrema mrema huko utakapoenda
 
Hongera ka gamba kadogo kujivua hako kagamba kako kadogo ila naamini wewe upo safi hivyo wewe sio gamba mkuu wangu cha msingi tukatae wala wabaya hata kama wapo cdm tutawatimua
 
big up, nakupongeza,karibu sana CDM, Uhuru wa kweli, Mabadiliko ya kweli.
 
Back
Top Bottom