Wallah Sheikh Kipozeo hapa anasubiri

Wallah Sheikh Kipozeo hapa anasubiri

Swali ulilouliza halihusiani na swali nililo kuuliza. Usikimbie swali,jibu swali kisha uulize swali ambalo ni munasaba.

Nasubiri jibu.
Jibu langu ni kwamba siyo kila kitu Mungu alichokiruhusu kifanyike au kitokee duniani basi anakipenda vingine kaviruhusu sababu anajua jinsi alivyotuumba binadamu wadhaifu na wenye mapungufu na ana sababu zake kwanini karuhusu tendo la ndoa Mungu aliliruhusu ili tuje kuzaliana na kuongezeka hapa duniani tena alitaka lifanywe na wanandoa tu

Na ndo maana akakataza uzinzi na uasherati ila sisi tumelifanya kama anasa hadi ambao hawana ndoa nao wanafanya tu wanavyojisikia lakini kwa Mungu tendo la ndoa ni uchafu na mbinguni hakuna tendo la ndoa na ndo maana nikakuuliza je shetani ni mzuri na tutamkuta tena mbinguni sababu tu Mungu ndo alimruhusu aje duniani? Nijibu hapa
 
[emoji3][emoji3][emoji3] naomba uniazime simu yako nicheze game
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]karibu mkuu nina magame mawili Temple Run na Diamond Rush sijui ungependelea kucheza lipi?
 
Sasa Yesu ni nani kama sio mtu ? Mbona mnajichanganya sana nyinyi ?

Na kwanini alikuja kama mtu na asije katika umbile lake halisi aliogopa nini ? Na kwanini alikuja na madhaifu ?
Waislam mnadhani Mungu ni kama baba zenu hao Mungu akiamua ashuke kama alivyo na utukufu wake hapa duniani hakuna mtu angeishi kwahiyo ilibidi aje duniani kama mtu ili kuwahubiria kwanza injili na kuwaonyesha kuwa binadamu tuna uwezo wa kuishi bila kufanya dhambi kama yeye alivyoishi

Na alitufia msalabani ili turudi kwenye ile nafasi ambayo wanadamu wa enzi zile walishaipoteza kwa Mungu kutokana na maovu yao usiponielewa hapo ndugu yangu basi hakika hautanielewa hata niandikie miguu kwahiyo wewe baki na imani yako tu kwanza siwezi kuendelea kubishana kuhusu dini huko ni kupoteza muda maana najua fika Mungu hana dini na Mbinguni hakuna dini kitakachokupeleka mbinguni ni imani na matendo yako
 
Jibu langu ni kwamba siyo kila kitu Mungu alichokiruhusu kifanyike au kitokee duniani basi anakipenda vingine kaviruhusu sababu anajua jinsi alivyotuumba binadamu wadhaifu na wenye mapungufu na ana sababu zake kwanini karuhusu tendo la ndoa Mungu aliliruhusu ili tuje kuzaliana na kuongezeka hapa duniani tena alitaka lifanywe na wanandoa tu

Sasa uchafu wa tendo la ndoa kwa wana ndoa uko wapi ?

Na kwa vipi Mola aliyetuumba asifurahishwe na tendo halali la ndoa kwa wana ndoa ?
Na ndo maana akakataza uzinzi na uasherati ila sisi tumelifanya kama anasa hadi ambao hawana ndoa nao wanafanya tu wanavyojisikia lakini kwa Mungu tendo la ndoa ni uchafu na mbinguni hakuna tendo la ndoa na ndo maana nikakuuliza je shetani ni mzuri na tutamkuta tena mbinguni sababu tu Mungu ndo alimruhusu aje duniani? Nijibu hapa

Ndio maana nikawa nataka ujibu swali hili,sasa unasema tendo la ndoa chafu na unalinasibisha na Moa,sasa ndio uniambie ni kifungu gani kina sema tendo la ndoa ni uchafu ?

Na nani amekwambia mbinguni hakuna tendo la ndoa ?

Unaposema mbinguni ni mbingu ya ngapi ?

Hivi kitu kichafu au jambo chafu linaweza kutoa jambo au kuzalisha kitu kisafi ?
 
Waislam mnadhani Mungu ni kama baba zenu hao Mungu akiamua ashuke kama alivyo na utukufu wake hapa duniani hakuna mtu angeishi kwahiyo ilibidi aje duniani kama mtu ili kuwahubiria kwanza injili na kuwaonyesha kuwa binadamu tuna uwezo wa kuishi bila kufanya dhambi kama yeye alivyoishi

Sasa wewe ndio unaleta dhana na unamdhania Mola kinyume na alivyo,inaonekana Mola anatisha mpaka akishuka tusiweze kuishi ?

Lakini kwa udhaifu gani wa Mungu mpaka akaamua kushuka kwa umbile la binadamu,nini alikihofia wakati yeye ni muweza wa yote ?
 
We nipe tu nitachagua ninachotaka unipe tu simu, huyu uliyeanza kuulizana nae maswali hamtamalizana leo
Kwa kweli najiona kabisa ninavyoenda kulala saa nane sasa ni bora nilale saa nane nikibishana kuhusu wanaume kupenda kuchepuka kuliko nibishane na waislam kuhusu dini hii vita haijawahi kuisha na haitakaa iishe yaani hivi vita amiri jeshi mkuu ni Mungu mwenyewe ndo maana nimemkatisha tu hapo nimemuambia abaki na anachoamini asinichoshe
 
Sasa uchafu wa tendo la ndoa kwa wana ndoa uko wapi ?

Na kwa vipi Mola aliyetuumba asifurahishwe na tendo halali la ndoa kwa wana ndoa ?


Ndio maana nikawa nataka ujibu swali hili,sasa unasema tendo la ndoa chafu na unalinasibisha na Moa,sasa ndio uniambie ni kifungu gani kina sema tendo la ndoa ni uchafu ?

Na nani amekwambia mbinguni hakuna tendo la ndoa ?

Unaposema mbinguni ni mbingu ya ngapi ?

Hivi kitu kichafu au jambo chafu linaweza kutoa jambo au kuzalisha kitu kisafi ?
Basi subirieni hao mabikira 72 mkafanye nao weee hadi mchoke ndo mjitahidi sasa mfanye matendo mema muende mbinguni mkakutane nao au labda na motoni napo wapo?
 
kwanza injili na kuwaonyesha kuwa binadamu tuna uwezo wa kuishi bila kufanya dhambi kama yeye alivyoishi

Ibrahim na kizazi chake mpaka kwa Musa wao mbona walifikisha ujumbe na watu wao wakauelewa vipi yeye aliamua kushuka kama yeye,je kulikuwa tofauti gani kipindi cha Ibrahim au Musa asishuke akaja kipindi baada ya Yusha bin Nuun ?

Lakini je ni kweli binadamu tunaweza kuishi bila kufanya dhambi ?
Na alitufia msalabani ili turudi kwenye ile nafasi ambayo wanadamu wa enzi zile walishaipoteza kwa Mungu kutokana na maovu yao usiponielewa hapo ndugu yangu basi hakika hautanielewa hata niandikie miguu kwahiyo wewe baki na imani yako tu kwanza siwezi kuendelea kubishana kuhusu dini huko ni kupoteza muda maana najua fika Mungu hana dini na Mbinguni hakuna dini kitakachokupeleka mbinguni ni imani na matendo yako

Mungu tena alikufa msalabani ?

Hivi kifo ni sifa dhaifu au ni ukamilifu ?

Alivyo kufa alifufuka baada ya muda gani ?

Na huki duniani nani alikuwa anaratibu mambo yake ?
 
Sasa wewe ndio unaleta dhana na unamdhania Mola kinyume na alivyo,inaonekana Mola anatisha mpaka akishuka tusiweze kuishi ?

Lakini kwa udhaifu gani wa Mungu mpaka akaamua kushuka kwa umbile la binadamu,nini alikihofia wakati yeye ni muweza wa yote ?
Bakini na mnachoamini ndugu zangu waislam kwa sababu hata nikikujibu hayo maswali yote bado hautabadilisha imani yako kwahiyo usinipotezee muda nisikupotezee muda usiku mwema mkuu lala salama uwaote hao mabikira 72 eehh tchao
 
Basi subirieni hao mabikira 72 mkafanye nao weee hadi mchoke ndo mjitahidi sasa mfanye matendo mema muende mbinguni mkakutane nao au labda na motoni napo wapo?

Asante sana,huku ulipoingia nilijua huwezi kutoka. Milango imefungwa.

Dini haiendeshwi kwa dhana bali elimu a ufahamu.

Kazi yangu nimeimaliza.

Nipo ....
 
Ibrahim na kizazi chake mpaka kwa Musa wao mbona walifikisha ujumbe na watu wao wakauelewa vipi yeye aliamua kushuka kama yeye,je kulikuwa tofauti gani kipindi cha Ibrahim au Musa asishuke akaja kipindi baada ya Yusha bin Nuun ?

Lakini je ni kweli binadamu tunaweza kuishi bila kufanya dhambi ?


Mungu tena alikufa msalabani ?

Hivi kifo ni sifa dhaifu au ni ukamilifu ?

Alivyo kufa alifufuka baada ya muda gani ?

Na huki duniani nani alikuwa anaratibu mambo yake ?
Mimi ndo nimemaliza hivyo siwezi ilazimisha kipofu ione wakati yenyewe haitaki kuona mimi nifanyaje sasa iache ibaki na ukipofu wake that being said good night and case closed ciao
 
Bakini na mnachoamini ndugu zangu waislam kwa sababu hata nikikujibu hayo maswali yote bado hautabadilisha imani yako kwahiyo usinipotezee muda nisikupotezee muda usiku mwema mkuu lala salama uwaote hao mabikira 72 eehh tchao

Kaka sikufichi maswali yangu huwezi kuyajibu na kubishana ni ishara ya ujinga,huwa sibishani sababu naijua haki,na haki siku zote huwa juu wala hakuna kilicho juu ya haki.

Maswali niliyokuuliza ukipata muda,jaribu kuwauliza wakubwa zako waliokuzidi elimu katika dini yako.
 
Waislam mnadhani Mungu ni kama baba zenu hao Mungu akiamua ashuke kama alivyo na utukufu wake hapa duniani hakuna mtu angeishi kwahiyo ilibidi aje duniani kama mtu ili kuwahubiria kwanza injili na kuwaonyesha kuwa binadamu tuna uwezo wa kuishi bila kufanya dhambi kama yeye alivyoishi

Na alitufia msalabani ili turudi kwenye ile nafasi ambayo wanadamu wa enzi zile walishaipoteza kwa Mungu kutokana na maovu yao usiponielewa hapo ndugu yangu basi hakika hautanielewa hata niandikie miguu kwahiyo wewe baki na imani yako tu kwanza siwezi kuendelea kubishana kuhusu dini huko ni kupoteza muda maana najua fika Mungu hana dini na Mbinguni hakuna dini kitakachokupeleka mbinguni ni imani na matendo yako
mbona aliiba mbao!?..hiyo si ni dhambi?..halafu alienda kwenye mzaituni akakuta zaituni hakuna,mungu gani hajui msimu wa mazao?..aliposema mungu wangu mbona umeniacha alikua anamlilia mungu gani?
 
Mimi ndo nimemaliza hivyo siwezi ilazimisha kipofu ione wakati yenyewe haitaki kuona mimi nifanyaje sasa iache ibaki na ukipofu wake that being said good night and case closed ciao

Naona unazidi kujichanganya,vipi kipofu akatae kuona wakati hawezi kuona ?

Na utaonekana wa ajabu sana kumlazimisha kipofu aone,bali utaonekana mjinga sana kwa kujaribu kufanya hivyo.

Kazi imeisha.
 
Kwa kweli najiona kabisa ninavyoenda kulala saa nane sasa ni bora nilale saa nane nikibishana kuhusu wanaume kupenda kuchepuka kuliko nibishane na waislam kuhusu dini hii vita haijawahi kuisha na haitakaa iishe yaani hivi vita amiri jeshi mkuu ni Mungu mwenyewe ndo maana nimemkatisha tu hapo nimemuambia abaki na anachoamini asinichoshe
imani yenu hainaga logic..kwamba yesu ni mungu,mwana wa mungu pia,lakini mama yake ni bikira maria ambae alipata mimba kwa miujiza ya mungu,yaani yesu alimtia mimba mama yake ili azaliwe,we na kwenda shule kote unajifanya kuelewa hapo!!?
 
Kaka sikufichi maswali yangu huwezi kuyajibu na kubishana ni ishara ya ujinga,huwa sibishani sababu naijua haki,na haki siku zote huwa juu wala hakuna kilicho juu ya haki.

Maswali niliyokuuliza ukipata muda,jaribu kuwauliza wakubwa zako waliokuzidi elimu katika dini yako.
Naona unatamani tuendelee kubishana basi ngoja nikwambie hivi sihitaji kuwauliza viongozi wa juu yangu sababu hata mimi mwenyewe nina majibu ya maswali yako yote

Ila sijataka kukujibu kwa sababu haujauliza kwa kutaka kujua bali umeuliza kwa kutaka kupinga siku zote anayeeleweshwa ni yule ambaye yuko tayari kuelewa na kuukubali ukweli

Siyo yule ambaye anasubiri umueleweshe ili akubishie huyo anayetaka kumuelewesha atakuwa anapoteza muda tu maana kila atakachojaribu kuelewesha atabishiwa tu

Halafu mtu kukataa kukujibu kitu siyo kwamba hajui yaani ni sawa uniulize jina langu halafu nikakataa kukutajia utasema silijui jina langu sababu nimekataa kukutajia?
 
Hawa watu mahubiri yao asilimia kubwa ni mwanamke tuu hawana kingine sasa sijui na watoto wadogo wamehudhuria swala hapo? Maana wakristu wao wana ibada rasmi za watoto na mafundisho ya watoto wakiwa peke yao sasa kwa wenzetu sijui wana utaratibu huo kwenye ibada zao, hapo kiongozi wa dini ndio anaongoza kumomonyoa maadili unafikiri watoto wakitoka kwenye hiyo ibada si wanakwenda kwenye practicle?
Ukiwa hujui ni bora kuuliza

Sio kila sheikh ukimuona amesimama mbele ya mike basi unajua ni muda wa ibada.

Mada zingine km hizo zinatolewa ktk mafundisho{Darsa)maalumu kwa umri husika so waweza kuta hilo ni Darsa maalumu kwa watu wazima.
 
mbona aliiba mbao!?..hiyo si ni dhambi?..halafu alienda kwenye mzaituni akakuta zaituni hakuna,mungu gani hajui msimu wa mazao?..aliposema mungu wangu mbona umeniacha alikua anamlilia mungu gani?
Duuh aisee kazi ipo
 
Naona unatamani tuendelee kubishana basi ngoja nikwambie hivi sihitaji kuwauliza viongozi wa juu yangu sababu hata mimi mwenyewe nina majibu ya maswali yako yote

Ila sijataka kukujibu kwa sababu haujauliza kwa kutaka kujua bali umeuliza kwa kutaka kupinga siku zote anayeeleweshwa ni yule ambaye yuko tayari kuelewa na kuukubali ukweli

Siyo yule ambaye anasubiri umueleweshe ili akubishie huyo anayetaka kumuelewesha atakuwa anapoteza muda tu maana kila atakachojaribu kuelewesha atabishiwa tu

Halafu mtu kukataa kukujibu kitu siyo kwamba hajui yaani ni sawa uniulize jina langu halafu nikakataa kukutajia utasema silijui jina langu sababu nimekataa kukutajia?

Poa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom