Wallah Sheikh Kipozeo hapa anasubiri

Wallah Sheikh Kipozeo hapa anasubiri

imani yenu hainaga logic..kwamba yesu ni mungu,mwana wa mungu pia,lakini mama yake ni bikira maria ambae alipata mimba kwa miujiza ya mungu,yaani yesu alimtia mimba mama yake ili azaliwe,we na kwenda shule kote unajifanya kuelewa hapo!!?
Hauwezi kuelewa sababu haujasoma biblia naomba nikuache na uelewa wako huo huo waswahili wanasema asiyejua maana haambiwi maana ni heri ya mimi ninayeamini kuwa Yesu ni Mungu kuliko yule anayeamini kuwa mbinguni kuna wanawake mabikira 72 walioandaliwa kwa ajili ya kila mwanaume wafanye nao tendo la ndoa aisee that's stupidity at its best
 
Hauwezi kuelewa sababu haujasoma biblia naomba nikuache na uelewa wako huo huo waswahili wanasema asiyejua maana haambiwi maana ni heri ya mimi ninayeamini kuwa Yesu ni Mungu kuliko yule anayeamini kuwa mbinguni kuna wanawake mabikira 72 walioandaliwa kwa ajili ya kila mwanaume wafanye nao tendo la ndoa aisee that's stupidity at its best
binadamu ana starehe gani kubwa kuzidi tendo la ndoa!!?..kila binadamu anaipenda hiyo starehe,sasa kwa nini mungu asiwalipe wakipendacho kwa kumtii huku duniani!?..hivi huwa mnafikiri nyie!!?
 
binadamu ana starehe gani kubwa kuzidi tendo la ndoa!!?..kila binadamu anaipenda hiyo starehe,sasa kwa nini mungu asiwalipe wakipendacho kwa kumtii huku duniani!?..hivi huwa mnafikiri nyie!!?
Hivi wewe hapo ulipo unajiona unamtii Mungu? Unajua maana ya kumtii Mungu wewe? OMG! Hivi nyie watu mnadhani mnamtii Mungu kama anavyotaka? Laiti kama Mungu angesema aje duniani achukue wanaomtii kama anavyotaka basi nakuhakikishia angerudi mbinguni peke yake maana huyo binadamu hayupo chini ya jua hivi nyie mnamtii Mungu au mnacheza tu?

Tatizo ni hizi baraka zake anazotupa ndo tunajiona kama tumemfurahisha sana kumbe ni upendo wake tu kwetu halafu kumtii Mungu siyo ombi ni amri kwa sababu yeye ndo katuumba na yeye ndo ana mamlaka ya kuamua tufanye nini na siyo sisi tumpangie ila kwa vile kaamua kutupa tu uhuru hapa duniani ndo tumekuwa na mioyo migumu hivi unajua kuwa malaika hawana uhuru kama tuliopewa sisi?

Wao kazi yao ni kutii kila wanaloambiwa na Mungu sasa wale ndo wanamtii Mungu na mbinguni ndivyo inavyotakiwa kusifu kuabudu kusujudu na kutii basi na hayo hauwezi kuyaona ni starehe sababu uko katika mwili ulio dhaifu unaowaza ngono na dhambi ila kwa upande wa roho kusujudu na kutii ndo starehe namba moja

Yaani kule mambo ni tofauti kabisa na mnavyoyafikiria huku duniani huu ni ulimwengu wa mwili na ule ni ulimwengu wa roho hivyo ni vitu viwili tofauti sema mitume na manabii wenu wametumia mbinu nzuri ya kuwafanya mjitahidi kuingia mbinguni kwa sababu wanajua jinsi gani wanaume mnapenda ngono wangewaambia ukweli kuwa mbinguni ni kutii na kusujudu si kuna watu wangesema liwalo na liwe? Aisee siyo mbaya hiyo ni mbinu nzuri kwahiyo sisi tunaowaambia ukweli tunawaharibia hao mitume na manabii wenu lengo na dhumuni lao
 
Hivi wewe hapo ulipo unajiona unamtii Mungu? Unajua maana ya kumtii Mungu wewe? OMG! Hivi nyie watu mnadhani mnamtii Mungu kama anavyotaka? Laiti kama Mungu angesema aje duniani achukue wanaomtii kama anavyotaka basi nakuhakikishia angerudi mbinguni peke yake maana huyo binadamu hayupo chini ya jua hivi nyie mnamtii Mungu au mnacheza tu?

Tatizo ni hizi baraka zake anazotupa ndo tunajiona kama tumemfurahisha sana kumbe ni upendo wake tu kwetu halafu kumtii Mungu siyo ombi ni amri kwa sababu yeye ndo katuumba na yeye ndo ana mamlaka ya kuamua tufanye nini na siyo sisi tumpangie ila kwa vile kaamua kutupa tu uhuru hapa duniani ndo tumekuwa na mioyo migumu hivi unajua kuwa malaika hawana uhuru kama tuliopewa sisi?

Wao kazi yao ni kutii kila wanaloambiwa na Mungu sasa wale ndo wanamtii Mungu na mbinguni ndivyo inavyotakiwa kusifu kuabudu kusujudu na kutii basi na hayo hauwezi kuyaona ni starehe sababu uko katika mwili ulio dhaifu unaowaza ngono na dhambi ila kwa upande wa roho kusujudu na kutii ndo starehe namba moja

Yaani kule mambo ni tofauti kabisa na mnavyoyafikiria huku duniani huu ni ulimwengu wa mwili na ule ni ulimwengu wa roho hivyo ni vitu viwili tofauti sema mitume na manabii wenu wametumia mbinu nzuri ya kuwafanya mjitahidi kuingia mbinguni kwa sababu wanajua jinsi gani wanaume mnapenda ngono wangewaambia ukweli kuwa mbinguni ni kutii na kusujudu si kuna watu wangesema liwalo na liwe? Aisee siyo mbaya hiyo ni mbinu nzuri kwahiyo sisi tunaowaambia ukweli tunawaharibia hao mitume na manabii wenu lengo na dhumuni lao
yaani watu waabudu na kujizuwia duniani na mbinguni!!..mbona logic haipo!?..kazi kubwa ya kuabudu duniani malipo yake nini?..yaani waovu wapelekwe ziwa la moto na wema waendelee na ibada hadi mbinguni!!
 
yaani watu waabudu na kujizuwia duniani na mbinguni!!..mbona logic haipo!?..kazi kubwa ya kuabudu duniani malipo yake nini?..yaani waovu wapelekwe ziwa la moto na wema waendelee na ibada hadi mbinguni!!
Kwa mtazamo wako huo ni kwamba unaona ibada ni kazi ngumu yaani ni shughuli pevu ndo nakwambia sasa wewe kama unataka kufanya tendo la ndoa fanya hapa duniani kadri uwezavyo yaani fanya hadi uume wako uombe poo ila ukae ukijua MBINGUNI HAKUNA HIVYO VITU na hapa wewe unaona kama ibada ni mateso sababu upo duniani na upo ndani ya huo mwili ambao ni dhaifu ila ukishakufa kama roho yako ikifanikiwa kuingia mbinguni hakika kitu cha kwanza kabisa itakachokuwa inawaza ni ibada na siyo zinaa tena

Hiyo akili ya kuwaza zinaa ni ya kibinadamu na ya kidunia tu anyway sikulazimishi uamini ninachaomini baki na imani yako mkuu maana hata nikikuelewesha wewe haitasaidia sababu bado wapo wanaume wengi kama wewe ambao wana imani kama hiyo ila nadhani mwisho wa siku muda huwa ndo mwalimu na mwamuzi mzuri sana TIME WILL TELL and when that time comes you won't be able to change your mind because it will be too late.
 
Kwa mtazamo wako huo ni kwamba unaona ibada ni kazi ngumu yaani ni shughuli pevu ndo nakwambia sasa wewe kama unataka kufanya tendo la ndoa fanya hapa duniani kadri uwezavyo yaani fanya hadi uume wako uombe poo ila ukae ukijua MBINGUNI HAKUNA HIVYO VITU na hapa wewe unaona kama ibada ni mateso sababu upo duniani na upo ndani ya huo mwili ambao ni dhaifu ila ukishakufa kama roho yako ikifanikiwa kuingia mbinguni hakika kitu cha kwanza kabisa itakachokuwa inawaza ni ibada na siyo zinaa tena

Hiyo akili ya kuwaza zinaa ni ya kibinadamu na ya kidunia tu anyway sikulazimishi uamini ninachaomini baki na imani yako mkuu maana hata nikikuelewesha wewe haitasaidia sababu bado wapo wanaume wengi kama wewe ambao wana imani kama hiyo ila nadhani mwisho wa siku muda huwa ndo mwalimu na mwamuzi mzuri sana TIME WILL TELL and when that time comes you won't be able to change your mind because it will be too late.
zinaa ni pale wasiooana wakifanya tendo la ndoa,tofauti na hapo inaitwa ngono,zinaa ni uchafu ila kwa wanandoa tendo la ndoa si uchafu,huendi kama roho unaenda kama mtu yuleyule uliyekua duniani,yohana(john) 14:2,ufunuo 21:4
 
Kwa mtazamo wako huo ni kwamba unaona ibada ni kazi ngumu yaani ni shughuli pevu ndo nakwambia sasa wewe kama unataka kufanya tendo la ndoa fanya hapa duniani kadri uwezavyo yaani fanya hadi uume wako uombe poo ila ukae ukijua MBINGUNI HAKUNA HIVYO VITU na hapa wewe unaona kama ibada ni mateso sababu upo duniani na upo ndani ya huo mwili ambao ni dhaifu ila ukishakufa kama roho yako ikifanikiwa kuingia mbinguni hakika kitu cha kwanza kabisa itakachokuwa inawaza ni ibada na siyo zinaa tena

Hiyo akili ya kuwaza zinaa ni ya kibinadamu na ya kidunia tu anyway sikulazimishi uamini ninachaomini baki na imani yako mkuu maana hata nikikuelewesha wewe haitasaidia sababu bado wapo wanaume wengi kama wewe ambao wana imani kama hiyo ila nadhani mwisho wa siku muda huwa ndo mwalimu na mwamuzi mzuri sana TIME WILL TELL and when that time comes you won't be able to change your mind because it will be too late.
Mbona huleti maandiko badala yake unaleta mijineno motupu isiyona nguo?

Ongea tupia na maandiko kushibisha hoja zako.sisi tunaweza kuhisi unayatoa kochwani bosi.
 
zinaa ni pale wasiooana wakifanya tendo la ndoa,tofauti na hapo inaitwa ngono,zinaa ni uchafu ila kwa wanandoa tendo la ndoa si uchafu,huendi kama roho unaenda kama mtu yuleyule uliyekua duniani,yohana(john) 14:2,ufunuo 21:4
Hahahaha kwahiyo hao wanawake mabikira 72 mnaenda kuwaoa au? Ngoja nianze kuenenda sawa sawa na akili yako inavyowaza
 
Mbona huleti maandiko badala yake unaleta mijineno motupu isiyona nguo?

Ongea tupia na maandiko kushibisha hoja zako.sisi tunaweza kuhisi unayatoa kochwani bosi.
Nikuletee andiko linalosemaje sasa linalokanusha kwamba mbinguni hakuna tendo la ndoa na wanawake mabikira 72 au? Be specific.
 
Ukiwa hujui ni bora kuuliza

Sio kila sheikh ukimuona amesimama mbele ya mike basi unajua ni muda wa ibada.

Mada zingine km hizo zinatolewa ktk mafundisho{Darsa)maalumu kwa umri husika so waweza kuta hilo ni Darsa maalumu kwa watu wazima.
Maana ya mafundisho ni kupewa elimu ya kitu kipywa na mahumu sasa hata kama yalikuwa yanalenga watu wazima kuna kitu gani anafundisha hapo? au wewe umeona kuna point katika haya maneno ambayo huwezi kutofautisha maneno ya wahuni mitaani na kiongozi wa dini?
 
Nikuletee andiko linalosemaje sasa linalokanusha kwamba mbinguni hakuna tendo la ndoa na wanawake mabikira 72 au? Be specific.
Linalosema tendo la ndoa kwa wanandoa hapa duniani ni uchafu.

Linalosema mbinguni ni kusifu na kuabudu,mana naweza kusema na kuamini kwamba dini yako ndo imesema kumbe umetoa kinywani mwako.

Ukitoa andiko nitaamini kwamba kumbe kweli dini yako ndo imesema,alafu hapo ninakuwa na uhuru wa kutambua kwamba kumbe zipo dini zinasema hvyo kweli...
 
nabii adam na hawa(eva) walikua wamefunga ndoa au
وقلنا يا آدم اسكن أنت وزوجك الجنة وكلا منها رغدا حيث شئتما ولا تقربا هذه الشجرة فتكونا من الظالمين

[ AL - BAQARA - 35 ]
Na tulisema: Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani, na kuleni humo maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti huu tu; mkawa katika wale walio dhulumu.

Mungu alishamuambia akae na mkewe.kwa maana alishamuoa kwana yeye ndo akammilikisha kuwa mkewe kabisa...
 
وقلنا يا آدم اسكن أنت وزوجك الجنة وكلا منها رغدا حيث شئتما ولا تقربا هذه الشجرة فتكونا من الظالمين

[ AL - BAQARA - 35 ]
Na tulisema: Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani, na kuleni humo maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti huu tu; mkawa katika wale walio dhulumu.

Mungu alishamuambia akae na mkewe.kwa maana alishamuoa kwana yeye ndo akammilikisha kuwa mkewe kabisa...
basi na watu wa peponi watafungishwa ndoa...ila lazima niwale tigo nikienda huko,na usiseme hawana
 
Ah hivi kumbe ndo nyie pia mnaojipa moyo kuwa wanaume wa kiislam watakaofanikiwa kuingia mbinguni watakuta wameandaliwa wanawake mabikira 72 kila mmoja? Aisee hii dini ina mambo ya ajabu sana yaani watu wanadanganywa kila kitu na wanaamini

Mtu anashindwa kufikiria tu kwamba kule mbinguni kinachoenda ni roho na siyo mwili yaani mwili ukishaoza kule kaburini ndo basi na siku zote chenye tamaa na shauku ya kutaka kufanya dhambi ni mwili na siyo roho sisi wakristo huwa tunamnukuu Yesu aliposema "roho i radhi lakini mwili u dhaifu sana"

Halafu tendo la ndoa kwa Mungu ni uchafu haya mambo mliyowekewa duniani msitegemee mtaenda kuyakuta mbinguni yaani kitu ambacho Mungu alikiweka ni starehe kwa viumbe vyake hadi wanyama ndege na wadudu duniani ndo kikawepo na mbinguni? Subhanallah hivi nyie mbinguni mnapachukuliaje wandugu?

Kule ni patakatifu siyo sehemu ya kwenda kufanya zinaa wala kufunga ndoa tena kule ni sehemu ya kumsifu na kumuabudu Mungu tu hata hao kina Solomon na David hayo ya kuoa wake wengi waliyaacha hapa hapa duniani huko walipo wanasujudu tu saa hizi na ndo maana hata Yesu alizaliwa kupitia njia ya kawaida ya mwanamke lakini hakuzaliwa kupitia tendo la ndoa sema daah watoto wa bi mdogo mna kazi
Kitu gani kinakufanya uamini unachokiamini??? Na wkudharau wengine wanachokiamini?? Na ni kwa nini roho iadhibiwe kwa dhambi ya mwili???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom