Wallah Sheikh Kipozeo hapa anasubiri

Wallah Sheikh Kipozeo hapa anasubiri

Ah hivi kumbe ndo nyie pia mnaojipa moyo kuwa wanaume wa kiislam watakaofanikiwa kuingia mbinguni watakuta wameandaliwa wanawake mabikira 72 kila mmoja? Aisee hii dini ina mambo ya ajabu sana yaani watu wanadanganywa kila kitu na wanaamini

Mtu anashindwa kufikiria tu kwamba kule mbinguni kinachoenda ni roho na siyo mwili yaani mwili ukishaoza kule kaburini ndo basi na siku zote chenye tamaa na shauku ya kutaka kufanya dhambi ni mwili na siyo roho sisi wakristo huwa tunamnukuu Yesu aliposema "roho i radhi lakini mwili u dhaifu sana"

Halafu tendo la ndoa kwa Mungu ni uchafu haya mambo mliyowekewa duniani msitegemee mtaenda kuyakuta mbinguni yaani kitu ambacho Mungu alikiweka ni starehe kwa viumbe vyake hadi wanyama ndege na wadudu duniani ndo kikawepo na mbinguni? Subhanallah hivi nyie mbinguni mnapachukuliaje wandugu?

Kule ni patakatifu siyo sehemu ya kwenda kufanya zinaa wala kufunga ndoa tena kule ni sehemu ya kumsifu na kumuabudu Mungu tu hata hao kina Solomon na David hayo ya kuoa wake wengi waliyaacha hapa hapa duniani huko walipo wanasujudu tu saa hizi na ndo maana hata Yesu alizaliwa kupitia njia ya kawaida ya mwanamke lakini hakuzaliwa kupitia tendo la ndoa sema daah watoto wa bi mdogo mna kazi
Hii pepo yenu ni miongoni mwa yanayonifanya nibaki kuwa muislamu nikaipate pepo ya kiislamu.

Yani duniani niabudu alafu malipo iwe ni kuabudu huko huko,sio poa kabisa.

Ni sawa na mtu afanye kazi ya kulima alafu malipo iwe ni kulima huko huko ndo malipo yake.akili yangu inakataa kabisa.

Waislamu tunajua kwamba baada ya kazi ni bata,sio baada ya kazi ni kazi hiyo hakuna.

Baada ya dhiki faraja kubaudu ni jambo gumu hivyo mwenye kulifanya lazima alipwe faraja.

Uislamu naupomgeza sana haukuwa mnafiki kabisa,umetaja wazi kwamba peponi tutapewa vile tunavyopenda.pepo ya waislamu hakuna kuabudu,huko ni burudani na kula raha kwa kwenda mbele unapata utakacho bila dhiki yeyote.
 
Nimeishangaa sana pepo yake huyo jamaa.
Yani nalima alafu nategemra malipo naambiwa malipo yako ni kulima kule kule lakini utalima kwa kutumia treckta na vifaa vya kisasa.

Hahahha aisee hyo pepo ni siitaki na sitokubali kuingia kabisa.
yani huku depo la kusali na kusujudu kumbe tukifika huko tunaliendeleza milele duh!!! vp ukitegea kidogo unafukuzwa?//
 
Kwani kila mtu akitafuta mbingu kupitia imani anayoiamini kuna tatizo?kila mtu apambane kwa njia aliyochagua bila kushinikizwa
 
ila binafsi niwe mkweli,hawa watu mfano wa huyo mhuni hapo msikitini naona hawana hadhi ya kusema kwa maslahi ya kufundisha dini,ni watu flani wajinga wajinga ambao wanadhani kufanya hivyo ndio dini lakini wana haribu mnoo,hata kama wanafundisha sio kwa mtindo huu,mtu maneno ya mtaani anayaleta msikitini

Bismillah Rahman Rahim

Asalaam Alleykum,warahma'tullah Wabarakatul.

Baada ya salaam hiyo ndugu zangu ninapenda kukukumbusheni hasa Wanaume , mashabaab wenzangu kuzingatia yale ambayo amekuwa akiyaeleza Sheikh wetu Sheikh Kipozeo katika kuelezea Neema za Allah alizowajaalia wanawake wa kibantu.

Aidha hapa Sheikh wetu alielezea hisia zake za kuwapenda wanawake wale wenye mizigo mikubwa mikubwa sheikh....naam!

Mizigo ile ya kibantu ile' Ashakum si matusi alikuwa akizungumzia Makalio makubwa yale Sheikh...au Matako mazitomazito.....Allah Akbar,..... Mmhhh!


• Baada ya hayo, bado kuna mapungufu aliyokuwa nayo Sheikh KIPOZEO kwakuwa hakueleza ni kwa jinsi gani Mwanamke ajiweke machoni pa Mume wake, kuanzia kutembea na hata sauti laaadhim sheikh.


Basi anatukumbusha hapa MAALIM DIMOSO kuwa wake zetu wajistir vipi na kuishi vipi ili tu tusiwatamani wasio wake zetu halal na kumkosea Allah wetu (S.A.W)


Ndugu Waislam kuzingatia haya ni muhimu sana kwa kulinda thawab

Video hapa nchini inaelezea kwa ufupi mawaidha ya Maalim DIMOSO.



Wabillah Tawfiq.

View attachment 1123459
 
Usijifanye una akili nyingi wewe jamaa ,umesema kinachoenda mbinguni ni roho na sio mwili ,na mimi nikauliza swali yule Nabii aliyepaa na Farasi aliingia Mbinguni kwa roho au mwili ? Hao farasi wako wapi ?
Huyo nabii aliyepaa na farasi sijawahi kumsikia labda uniambie wewe ni nabii gani huyo? Halafu unielezee na process ya mwili kutoka kwenye kaburi na kwenda mbinguni
 
Huyo nabii aliyepaa na farasi sijawahi kumsikia labda uniambie wewe ni nabii gani huyo? Halafu unielezee na process ya mwili kutoka kwenye kaburi na kwenda mbinguni
Wewe ni Mkristo ? Process ya mwili kutoka kwenye kaburi kwenda mbinguni mimi sijui wewe ndiye unayejua na ndio maana ukasema kinachoingia mbinguni ni roho sio mwili

Ndio nikataka kujua kwako Nabii Elijah aliyepaa na Farasi wa moto mbinguni aliingiaje kwa roho au mwili ?
 
Hii pepo yenu ni miongoni mwa yanayonifanya nibaki kuwa muislamu nikaipate pepo ya kiislamu.

Yani duniani niabudu alafu malipo iwe ni kuabudu huko huko,sio poa kabisa.

Ni sawa na mtu afanye kazi ya kulima alafu malipo iwe ni kulima huko huko ndo malipo yake.akili yangu inakataa kabisa.

Waislamu tunajua kwamba baada ya kazi ni bata,sio baada ya kazi ni kazi hiyo hakuna.

Baada ya dhiki faraja kubaudu ni jambo gumu hivyo mwenye kulifanya lazima alipwe faraja.

Uislamu naupomgeza sana haukuwa mnafiki kabisa,umetaja wazi kwamba peponi tutapewa vile tunavyopenda.pepo ya waislamu hakuna kuabudu,huko ni burudani na kula raha kwa kwenda mbele unapata utakacho bila dhiki yeyote.
Mkuu mimi nimetaja baadhi ya mambo ambayo watakaofanikiwa kuingia mbinguni watayafanya na sijayataja yote yapo mengine mengi tu ila sijayataja lakini MBINGUNI HAKUNA TENDO LA NDOA hilo futeni vichwani mwenu tendo la ndoa kwa Mungu ni uchafu na hawezi kuruhusu uchafu mbinguni halafu unasema kumuabudu Mungu ni kazi ngumu?

Siyo kosa lako ni huo mwili uliopewa ndo unakufanya uone hivyo kwa sababu siku zote roho hutamani kufanya mema ila mwili hutamani kutenda dhambi tu ndo maana nikakwambia roho i radhi lakini mwili u dhaifu sana hata wale wafalme watakatifu waliooa wake wengi wapo huko mbinguni wanasujudu na sidhani kama wanalalamika halafu pia hebu kuwa tu mkweli hii dunia unavyoiona au wewe tu hapo ulipo unajiona unamuabudu Mungu?

Hivi nyie kumuabudu Mungu mnakuchukuliaje? Hivi hapo mlipo mnaweza kusema mnamuabudu Mungu kama anavyotaka kweli? Laiti kama Mungu angesema aje duniani atafute wale wanaomuabudu kama anavyotaka yeye ndo aende nao mbinguni basi nakuhakikishia angerudi mbinguni peke yake

Hapa duniani hakuna anayemuabudu Mungu ipasavyo wote tunacheza tu na yeye kwa sababu ya neema na rehema zake anavyotupendelea basi tunajihisi kama vile tumemfurahisha tumefanya yote anayotaka kumbe ni upendo wake kwetu tu wanadamu ifike pahala tuache kujidanganya na hizi dini MUNGU SIYO DINI NA DINI SIYO MUNGU na wala mbinguni hakuna dini wala dhambi
 
Nataka unipe maandiko ambayo umeyategemea ili nizidi kuamini kwamba pepo unayohubiri ipo katika vitabu vyenu kweli...
Mkuu mimi nimetaja baadhi ya mambo ambayo watakaofanikiwa kuingia mbinguni watayafanya na sijayataja yote yapo mengine mengi tu ila sijayataja lakini MBINGUNI HAKUNA TENDO LA NDOA hilo futeni vichwani mwenu tendo la ndoa kwa Mungu ni uchafu na hawezi kuruhusu uchafu mbinguni halafu unasema kumuabudu Mungu ni kazi ngumu?

Siyo kosa lako ni huo mwili uliopewa ndo unakufanya uone hivyo kwa sababu siku zote roho hutamani kufanya mema ila mwili hutamani kutenda dhambi tu ndo maana nikakwambia roho i radhi lakini mwili u dhaifu sana hata wale wafalme watakatifu waliooa wake wengi wapo huko mbinguni wanasujudu na sidhani kama wanalalamika halafu pia hebu kuwa tu mkweli hii dunia unavyoiona au wewe tu hapo ulipo unajiona unamuabudu Mungu?

Hivi nyie kumuabudu Mungu mnakuchukuliaje? Hivi hapo mlipo mnaweza kusema mnamuabudu Mungu kama anavyotaka kweli? Laiti kama Mungu angesema aje duniani atafute wale wanaomuabudu kama anavyotaka yeye ndo aende nao mbinguni basi nakuhakikishia angerudi mbinguni peke yake

Hapa duniani hakuna anayemuabudu Mungu ipasavyo wote tunacheza tu na yeye kwa sababu ya neema na rehema zake anavyotupendelea basi tunajihisi kama vile tumemfurahisha tumefanya yote anayotaka kumbe ni upendo wake kwetu tu wanadamu ifike pahala tuache kujidanganya na hizi dini MUNGU SIYO DINI NA DINI SIYO MUNGU na wala mbinguni hakuna dini wala dhambi
 
Mkuu Google tu kama hujawahi sikia habari zake utapata unachokitaka
Nimezisikia na kuzisoma pia, nataka kulifahamu hilo andiko linalozungumzia huo muujiza linapatikana katika kitabu gani
 
Kwa hyo mungu aliporuhusu tendo la ndoa duniani ina maana aliruhusu uchafu wa tendo la ndoa duniani?

Aiseee Mungu wako wa ajabu sana.
Aliruhusu uchafu hapa duniani?
Mkuu mimi nimetaja baadhi ya mambo ambayo watakaofanikiwa kuingia mbinguni watayafanya na sijayataja yote yapo mengine mengi tu ila sijayataja lakini MBINGUNI HAKUNA TENDO LA NDOA hilo futeni vichwani mwenu tendo la ndoa kwa Mungu ni uchafu na hawezi kuruhusu uchafu mbinguni halafu unasema kumuabudu Mungu ni kazi ngumu?

Siyo kosa lako ni huo mwili uliopewa ndo unakufanya uone hivyo kwa sababu siku zote roho hutamani kufanya mema ila mwili hutamani kutenda dhambi tu ndo maana nikakwambia roho i radhi lakini mwili u dhaifu sana hata wale wafalme watakatifu waliooa wake wengi wapo huko mbinguni wanasujudu na sidhani kama wanalalamika halafu pia hebu kuwa tu mkweli hii dunia unavyoiona au wewe tu hapo ulipo unajiona unamuabudu Mungu?

Hivi nyie kumuabudu Mungu mnakuchukuliaje? Hivi hapo mlipo mnaweza kusema mnamuabudu Mungu kama anavyotaka kweli? Laiti kama Mungu angesema aje duniani atafute wale wanaomuabudu kama anavyotaka yeye ndo aende nao mbinguni basi nakuhakikishia angerudi mbinguni peke yake

Hapa duniani hakuna anayemuabudu Mungu ipasavyo wote tunacheza tu na yeye kwa sababu ya neema na rehema zake anavyotupendelea basi tunajihisi kama vile tumemfurahisha tumefanya yote anayotaka kumbe ni upendo wake kwetu tu wanadamu ifike pahala tuache kujidanganya na hizi dini MUNGU SIYO DINI NA DINI SIYO MUNGU na wala mbinguni hakuna dini wala dhambi
 
Hivi hawa jamaa hawanaga mahubiri mengine tofauti na hayo maana mi naona wengi wanaongelea tu mahusiono
Yapo mengi sana tena mahubiri ya maana yanayokataza zinaa, shirki, ulevi, kuua, yapo ambayo yanahuri kutenda mema nk. Sema wengi hayo hawayaskilizi wanapenda hizi mambo zenye comedy. Kama unataka sema utumiwe Sheikh Nassor Bachu na wenzake upate mahubiri ya maana sio izo comedy.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom