Mijadala mingi imeibuka na si jambo la ulazima uwe na degree ya uchumi ujue couses ya financial crisis duniani.Its a shame kwa msomi na mwanaharakati kama John mashaka kupotosha umma kuwa mtikisiko wa kiuchumi unaondelea sasa hivi umetokana na sababu moja wapo ikiwa vita ya Iraq na ongezeko la bei ya mafuta.
John mashaka kama msomi ni reflection ya wasomi wetu tunaowapa dhamana ya kutoa maamuzi sahihi kwa manufaa ya wananchi na matokeo yake ni kutumbukiza kwenye matatizo.
Nimemsikiliza kwenye interview yake na daily news nikasitika .is this the man called financial analyst? Muoneni muongo mkubwa wa wall street
Daily News | The leading Online news edition in Tanzania
Yo Yo Americans can do anything. Ni vigumu sana kuwa amini wamarekani. Kuna baadhi ya wataalamu waliokubuhu wanasema msukosuko wa uchumi wa dunia umesababishwa na unhealthy imbalance between surplus kubwa ya budget na forex waliayonayo wachina na baadhi ya nchi za Asia kwa upande mmoja na deficit kubwa sana ya budget waliyonayo wamarekani na baadhi ya West Europe economies. Sasa huwezi kujua wamarekani wana taka kuufanya nini uchumi wa China. Independent analysts wamesema kuwa wamarekani wanawaogopa sana wachina kiuchumi kwa sababu China is the biggest buyer of US securities na wachina wakisema wa withdraw investments zao kutoka securities za marekani uchumi wa US unaweza uka collapse. So anything can happen, remember americans are masters of the speculative economy, so they can do anything. They used the great depression after WWII to dominate the world economically.