JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,106
- 3,523
Wandugu ndio maana mnaambiwa mwende shule kwanza!! Hebu tazama hata habari yenyewe ilivyokaa. Duu!!
sasa hao ndio wasomi wao!! wanaandika kama class 2,hawakawii kusema Dr ndalichako anawafelisha.Angalia matundu mawili ya risasi ya chini yalivyo fanana!! purely copy and paste. huyu Farid ni hatari kuliko ukoma.Anatafuta sympathy ya jamii na anawapta kwasababu hawana shule ya kuwasaidia kupembua mambo.