bongo-live
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 1,017
- 918
Baada ya kaz
tusker hainilazi kwa mtindo huo labda lita 1000
hah hah hah inawezekana maana tusker mbali na mikojo stimu hakuna kabisa huku kitaa tunaanzia za promosheni then tunabadili gia kwa kujaribu kumuachanisha "jamaa mikono" hapo ndio mambo yanaenda sawaHuyo kaanzia na viroba pori
Mulhat, what is your relationship status? Dizain flan kama nimekuelewa! Njoo tuyajenge yetu bac...what is going on here?
hahaha umeelewa nini kiongozi.........i was born to be single yaani sijatoka kwenye ubavu wa mtu............... mimi mwenyeweeeeMulhat, what is your relationship status? Dizain flan kama nimekuelewa! Njoo tuyajenge yetu bac...
Jamanii, nahisi kama vile ulichomolewa kwenye mbavu zangu... Yani nimekacheki hako kapicha kako hapo najihisi kuchanganyikiwa... Basi na nikiangalia vile unapangilia maneno unaonekana ni mwanamke mstaarabu na anayejielewa... Nicheki basi inbox tupange yetu ya maisha Mulhat Mpenzi...hahaha umeelewa nini kiongozi.........i was born to be single yaani sijatoka kwenye ubavu wa mtu............... mimi mwenyeweeee
hahahahaha daaaah utaniweza wewe kweli daaaaaaaaa nimeshindikana mkuu ,,,,, jeuri hatareeeJamanii, nahisi kama vile ulichomolewa kwenye mbavu zangu... Yani nimekacheki hako kapicha kako hapo najihisi kuchanganyikiwa... Basi na nikiangalia vile unapangilia maneno unaonekana ni mwanamke mstaarabu na anayejielewa... Nicheki basi inbox tupange yetu ya maisha Mulhat Mpenzi...
Waliokushindwa hawakujua namna ya kukuhandle... Am sure wewe mwenyewe utaadjust and you will finally come to terms that am a man meant for you...hahahahaha daaaah utaniweza wewe kweli daaaaaaaaa nimeshindikana mkuu ,,,,, jeuri hatareee
nakushauri utafute mwingine
jamanii wacha hizo buana niache niifurahie forum yangu pendwaWaliokushindwa hawakujua namna ya kukuhandle... Am sure wewe mwenyewe utaadjust and you will finally come to terms that am a man meant for you...
maticha ndan ya shule moja mkoan kilimanjaro waliwakamata wanafunz wa kidato cha tatu wakicheza " too hard on each other" hivo baadae wakawapa kichapo cha hatar. Jion yake maticha walikuwa na uchov wa hatar ivoo ikabid wapige msosi mzito na tusker za kutosha..Hiyo picha ya hao wanafunzi itolee ufafanuzi mkuu..
Huyu wa tusker ni Le baharia?