Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 549
- 785
Wakuu naombeni Msaada, nimetoa Gari Bandarini nataka kulipeleka TBS likakaguliwe njiani wamenikamata Matrafiki mara mbili wanasema siruhusiwi kutembea na Gari ikiwa na Chasis Number hadi isajiliwe,kama nataka kulipeleka TBS nitafute Gari la kuibeba.
Awali mtu wa Clearing aliniambia nikate Bima tu tukafanya hivyo ila akaniambia naweza kwenda nayo TBS ila hairuhusiwi kutembea baada ya saa 12 jioni, ila cha kushangaza niko Barabarani bado asubuhi Trafiki wamenikamata na muda huu wamezuia Gari kabisa.
Nashindwa kupambana kwasababu sina uelewa wa uhakika wa haya mambo, mwenye uelewa anisaidie na kama naweza kupata Sheria zaidi na namna ya kukomboa Gari langu nitafurahi.
Awali mtu wa Clearing aliniambia nikate Bima tu tukafanya hivyo ila akaniambia naweza kwenda nayo TBS ila hairuhusiwi kutembea baada ya saa 12 jioni, ila cha kushangaza niko Barabarani bado asubuhi Trafiki wamenikamata na muda huu wamezuia Gari kabisa.
Nashindwa kupambana kwasababu sina uelewa wa uhakika wa haya mambo, mwenye uelewa anisaidie na kama naweza kupata Sheria zaidi na namna ya kukomboa Gari langu nitafurahi.