Waliowahi kufumaniwa watupe ushauri

!
!
dah nilikatwa banzi la uso, kabla sijajua vizuri nikala mtama halafu nikasinywa. Dah hili pigo silisahau. Mchizi alinipa mkong"oto kiaina nikatoka nduki. Hasira nikamalizia kwa demu game za kirafiki daily kabla mchizi hajapelekewa napewa then ndio inaenda. Long way back 2001.
 
!
!
dah nilikatwa banzi la uso, kabla sijajua vizuri nikala mtama halafu nikasinywa. Dah hili pigo silisahau. Mchizi alinipa mkong"oto kiaina nikatoka nduki. Hasira nikamalizia kwa demu game za kirafiki daily kabla mchizi hajapelekewa napewa then ndio inaenda. Long way back 2001.

Duuuuh! Nakuona vile ulivyokuwa ukianguka na kuinuka then mbio
 
the payback..
attachment.php
images
hivi kwa mfano hawa wakioana watapendana sana na kuacha kuchepuka kwa vile wamefumaniwa au wataendelea kuchepuka?!
 
mie nlifumania naSIKUFUMANIWA labda akiiona hii thread atatoa ushuhuda
Enhee ilikuwaje tiririka mkuu !
ila nachoweza kusema ni historia sasa....
Sitaki kukumbuka mabaya yake..
Nakumbuka mazuri yake..mojawapo ni kujua kosa lake na kuniangushia bonge la asset..
Toka hapo ni raha na bata kwa kwenda mbele.
 
Mc Tilly.. Kuna jamaa alimfumania manzi yake ghetto kwa mshikaji akawa anampga demu.. Mfumaniwa akaanza kubwata "oyaa ww k... ntakupasua mchukue demu wako mkabiganie kwenu" jamaa taratibu akamchukue demu wake akaondoka..
 
mie nlifumania naSIKUFUMANIWA labda akiiona hii thread atatoa ushuhuda

ila nachoweza kusema ni historia sasa....
Sitaki kukumbuka mabaya yake..
Nakumbuka mazuri yake..mojawapo ni kujua kosa lake na kuniangushia bonge la asset..
Toka hapo ni raha na bata kwa kwenda mbele.

umshukuru na mchepuko uliyemfumania nae. Ndo turning point ya wewe kula raha na Bata. na asset ukapata.
 
!
!
dah nilikatwa banzi la uso, kabla sijajua vizuri nikala mtama halafu nikasinywa. Dah hili pigo silisahau. Mchizi alinipa mkong"oto kiaina nikatoka nduki. Hasira nikamalizia kwa demu game za kirafiki daily kabla mchizi hajapelekewa napewa then ndio inaenda. Long way back 2001.

Kwa hiyo uliishia ivo tu kupigwa mitama na mabanzi ina maana jamaa hakutaka kukufokonyoa kiboga, hapo nahic kama ushuhuda wako haujakamikika
 
Ukifumaniwa unakataa katakata unasema sio mimi mmekosea! Ha ha usiyatafute hayo!
 
Back
Top Bottom