Natafuta watu waliohitimu Darasa la Saba mwaka 1988 Shule ya Msingi Leganga Usa-River Arusha kama akina Muhammed Ali, Msafiri, Hariri Khamisi, Yolanda, Mariam, Israel, zakaria simeon, amina na wengineo wa pale Majengo na kwingineko. Au akina Hussein amri, juma amri, hussein michigan na wengineo. Ni siku nyingi na sijui walipo tangu tuachane mwaka 1990.