napenda kujua wale waliopigiwa simu wakaambiwa wasiseme na wakawa na woga kwamba huenda kakaenda kung'olewa kucha nini wamekikuta huko make tarehe ilikua leo
napenda kujua wale waliopigiwa simu wakaambiwa wasiseme na wakawa na woga kwamba huenda kakaenda kung'olewa kucha nini wamekikuta huko make tarehe ilikua leo
Walipigiwa tena simu wakaambiwa wasiende kwa kuwa ni waoga.
Tulienda bana.
kama hujaelewa huna haja ya kucomment,wapo wahusika watajibu msikurupuke!
tulikwenda tukakatwa vichwa