encyclopaedia Tanzaree
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 513
- 397
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. awamu ya kwanza ya majina ya waliopangiwa mikopo mwaka 2017/18 iko tayari. BONYEZA HAPA kuona jina lako!
Link hiyo itakuelekeza moja kwa mja kwenye ukurasa wa ku login, login halafu angalia kwenye dashboard neno la kwanza ni "LOAN ALLOCATION 2017/18", bonyeza hapo utaona kama umepata au lah!
Karibuni!
Link hiyo itakuelekeza moja kwa mja kwenye ukurasa wa ku login, login halafu angalia kwenye dashboard neno la kwanza ni "LOAN ALLOCATION 2017/18", bonyeza hapo utaona kama umepata au lah!
Karibuni!