Waliopata mkopo 2017/18

Waliopata mkopo 2017/18

encyclopaedia Tanzaree

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2017
Posts
516
Reaction score
405
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. awamu ya kwanza ya majina ya waliopangiwa mikopo mwaka 2017/18 iko tayari. BONYEZA HAPA kuona jina lako!

Link hiyo itakuelekeza moja kwa mja kwenye ukurasa wa ku login, login halafu angalia kwenye dashboard neno la kwanza ni "LOAN ALLOCATION 2017/18", bonyeza hapo utaona kama umepata au lah!

Karibuni!
 

Attachments

Pumbavu kabisa... kichwa hakiendani na content yenyewe
 
Wadau wa elimu kama kichwa kinavyojieleza!
Naomba tupeane updates na tetesi zozote zinazohusiana na kinachoendelea kunako bodi ya mikopo kuhusu utoaji wa mikopo 2017/18.

Karibuni!
Wadau wa elimu kama kichwa kinavyojieleza!
Naomba tupeane updates na tetesi zozote zinazohusiana na kinachoendelea kunako bodi ya mikopo kuhusu utoaji wa mikopo 2017/18.

Karibuni!
Futa kichwa cha habari apo juu haraka iwezekanavyo..unawapa watu pressure..mbavuu sana. ...
 
Naombeni kuuliza wakuu, hivi kwa mfano B.O.T wakaikutafta wenyewe kuwa u-apply sponsorship yao watakuwa wanakulipa sawa na loan's board au wataongeza kidogo?
 
Hivi kwenye index no unaweka mkwaju, dot au dash. .
. Maana hawaja toa maelekezo how do ..

I mean naomba kama kuna mtu anajua namna ya kuiandika hiyo namba anisaidie
 
Back
Top Bottom