ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Hzi ni habari toka ndani kwao wenyewe. Hawawezi kutangaza watatumbuliwa, wanataka kufanya kimya kimyaSource :??????
Hiyo ndo Tanzania. Unashangaa hilo tu na Hali kuna wafanyakazi walioajiriwa mwezi may na walilipoti kazini na kuitumikia serikali Kwa mwezi may na June na kuambiwa warudi home until further notice. Hii ndo Tanzania. Hapo mtu moshi mwingine alishaacha kazi Kwa mwajiri wake wa awali hapo Sasa ndo Hali inapokuwa ngumuHabarini wanajamvini!
Kwa wale wenzangu wadau wa mambo ya soko la mitaji na mambo ya hisa , hi taarifa ni muhmu.
Kuna taarifa za ndani toka DSE dar es salam stock exchange, ambao juzi walijiorodhesha katika soko na kubadili mfumo toka private nature to public nature. Process hyo ilihusisha uuzwaji wa hisa za DSE, kwa hyo waliotaka kununua waliweza kufanya hvo.
DSE walitoa matangazo mengi sana magazetini, redioni, televisions kuhamasisha watu wakanunue hisa zao, na nadhani watu waliitikia wito na kwenda kununua.
Cha ajabu kitakachofanyika, wamesema watawarudishiwa baadhi ya watu fedha zao ili wabaki watu wachache tu wenye kumiliki hsa hzo za DSE wengi wao wakiwa ni Wageni.
Chakusikitisha, kuna watu wameuza nyumba, magari, mifugo, mikopo, ili tu wakawekeze huko DSE, sasa hi ya kurudisha fedha inakuwa ni tatizo sana. Sasa kwanini walitangaza kama walikuwa hawataki watu wanunue.
Kweli nimeamini ukitaka kuwa maskini tanzania ingia katika biashara ya hisa.
Si kweli,ni za mkopo wa gariMnyika pesa za mfuko wa jimbo kanunulia hisa huko DSE.. Bora wazirudishe zitumike kutuletea maendeleo jimboni
DSE kama DSE au kampuni inazozifanyia biashara?
Si kweli,ni za mkopo wa gari
Mnyika pesa za mfuko wa jimbo kanunulia hisa huko DSE.. Bora wazirudishe zitumike kutuletea maendeleo jimboni
Hzi ni habari toka ndani kwao wenyewe. Hawawezi kutangaza watatumbuliwa, wanataka kufanya kimya kimya
Hili ni jambo la kawaida, kibiashara inaitwa over subscription, yaani kama ulitaka milioni 100, kwa kuzigawa katika hiza 100 za shilingi za elfu moja moja, wakajitokeza watu 500, wewe utachukua hisa za watu 100 tuu, on the basis of first come first saved na wale 400, watarudishiwa fedha zao!.Habarini wanajamvini!
Kwa wale wenzangu wadau wa mambo ya soko la mitaji na mambo ya hisa , hi taarifa ni muhmu.
Kuna taarifa za ndani toka DSE dar es salam stock exchange, ambao juzi walijiorodhesha katika soko na kubadili mfumo toka private nature to public nature. Process hyo ilihusisha uuzwaji wa hisa za DSE, kwa hyo waliotaka kununua waliweza kufanya hvo.
DSE walitoa matangazo mengi sana magazetini, redioni, televisions kuhamasisha watu wakanunue hisa zao, na nadhani watu waliitikia wito na kwenda kununua.
Cha ajabu kitakachofanyika, wamesema watawarudishiwa baadhi ya watu fedha zao ili wabaki watu wachache tu wenye kumiliki hsa hzo za DSE wengi wao wakiwa ni Wageni.
Chakusikitisha, kuna watu wameuza nyumba, magari, mifugo, mikopo, ili tu wakawekeze huko DSE, sasa hi ya kurudisha fedha inakuwa ni tatizo sana. Sasa kwanini walitangaza kama walikuwa hawataki watu wanunue.
Kweli nimeamini ukitaka kuwa maskini tanzania ingia katika biashara ya hisa.
Umeingiza siasa za kipuuzi tena!!Mnyika pesa za mfuko wa jimbo kanunulia hisa huko DSE.. Bora wazirudishe zitumike kutuletea maendeleo jimboni
Mkuu nahisi hao watu walikuwa hawajaingia payroll au ndo wanaoitwa wa ajira batili....maana ninalojua kama umeshaingia payroll na ajira yako imefata utaratibu unaotakiwa sio rahisi kufutwa...Hiyo ndo Tanzania. Unashangaa hilo tu na Hali kuna wafanyakazi walioajiriwa mwezi may na walilipoti kazini na kuitumikia serikali Kwa mwezi may na June na kuambiwa warudi home until further notice. Hii ndo Tanzania. Hapo mtu moshi mwingine alishaacha kazi Kwa mwajiri wake wa awali hapo Sasa ndo Hali inapokuwa ngumu
Sijaelewa. Unamaanisha DSE ni kampuni sasa na wanajiuza nao huko sokoni?