Walionipa ushauri jinsi ya kuacha punyeto hapa JF Asanteni sana.

Walionipa ushauri jinsi ya kuacha punyeto hapa JF Asanteni sana.

The Zanzibar Echo

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2025
Posts
490
Reaction score
836
Asanteni sana ndio neno la kwaza naanza nalo.
Nilileta mada hapa mnishauri jinsi ya kuacha kuangalia video za uchi na kujichua.

Kuna walio nishauri, walio ni benza na kunidharau na kunidhihaki kama sitokuja niache.

Kuna walio nipa moyo kwamba Ata ikitokea nimejaribu kuacha ila nkafanya nisikate tamaa
Leo inakaribia mwezi wa pili sasa sjaangalia wala kujichua na sio kawaida yangu mana ilikua haipiti siku 3 bila ya kufanya hivo

Asanteni sana wana JF mungu atawalipa mema. Amina
 
Back
Top Bottom