Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Inaitwa Marital rape - watu wanaenda jela. Wenzenu hapa kijijini walipitisha sheria kabisa kuwa hata kama mlikubaliana na mkaanza kula lakini hata katikati ya mlo mwenzako akisema "hapana" inabidi urudishe mkono hata kama tonge lilikuwa linakaribia kuingia kooni!!!