toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hivi wale waliofuta matokeo ya uchaguzi ZANZIBAR kisha wakatangazwa wao warijiskiaje?
Kwani ni lazima kujenga nchi kwa kudhurumu, kupora na kuua?
Mwisho wa siku wote mnakufa tu huwa mnaenda kujibu nini huko kama kutakua na maisha baada ya kifo?
Tanzania inanuka dhuluma,uonevu,ukandamizaji,damu na majasho ya watu ndo maana tuna kira kitu hatuendelei hii ni laana ya asili
Kwani ni lazima kujenga nchi kwa kudhurumu, kupora na kuua?
Mwisho wa siku wote mnakufa tu huwa mnaenda kujibu nini huko kama kutakua na maisha baada ya kifo?
Tanzania inanuka dhuluma,uonevu,ukandamizaji,damu na majasho ya watu ndo maana tuna kira kitu hatuendelei hii ni laana ya asili