mfate42 JF-Expert Member Nov 16, 2014 3,769 4,260 Nov 18, 2019 #61 Nlishawahi kusema kuwa nikipangwa kazi mara siendi
EvilSpirit JF-Expert Member Jun 15, 2017 8,558 12,683 Nov 18, 2019 #62 Namsikia mjinga mmoja akiongea kwa kunong'ona akisema adhabu ya kifo ifutwe
charlesnyaseba New Member Nov 17, 2019 1 0 Nov 18, 2019 #63 Binafsi mimi mwenyewe Wa huko siyo wote wenye upumbavu huo sheria ichukie mkondo wake huo ni ujinga tu
Binafsi mimi mwenyewe Wa huko siyo wote wenye upumbavu huo sheria ichukie mkondo wake huo ni ujinga tu