Hivi karibuni kama miezi miwili au mmoja na nusu , kuna lorry la la futi arobaini lilipakia matofali usiku toka ktk huo mradi unaosimamiwa na TBA, jambo la kujiuliza , uhamishaji huo ulikuwa na Baraka za wanaohusika, na kwanini shughuli hizo zilikuwa zinafanyika usiku?
TBA tunaomba maelezo
TBA tunaomba maelezo