Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Huyo Halima aombee ma-trilioni yaje yasipokuja sidhani kama atathaminiwa kwa chochote maana lengo kuu ni ma-trilioni siyo Halima na wenzake.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Unadai upinzan hawajakomaa halafu serikali yako inakodi mpaka majeshi toka ya burundi kupambana nao??., kwa vyovyote wewe ni mwehu pia ww n crazy.
Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!

Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
 
Ndiyo battle ground aliyoichagua. Wewe unadhani hai unaowafikiria kwamba wametulia tuli wenyewe hawana battle ground. Unadhani kuwa na access ya ku comment kwenye social medias inamfanya awe so special kwamba hana vita yoyote ya kimaisha? Kwamba yupo anakula good time?
Unadhani ni nani walipambana bega kwa bega na Halima? Ni nani waliotumia social media kuitangazia dunia dhurma aliyofanyiwa Halima?
Ni jambo baya kufikiria eti waliopo kwenye social media hawana msaada au hawajui pains. Unadhani ni kwanini serikali iliamua kupiga ban Internet nchi mzima

Mnhh kazi yako au battle yako,inakufanya ulale selo? upigwe ?? hii ndio maana halisi ya kuwa kwenye real ground naona umechukulia out of context sijaamaanisha mambo ya good time,nilikua namaanisha battles zenu sio kama za Halima Mdee, kwa mfano wewe ushapigwa kwa ajili ya kazi yako? ...

and yes hamjui pain ....kwa mfano wewe ulale selo,upitie changamoto zote alizopitia for the last 15 years JIULIZE ungeweza?..kwa nini hamrecorgnise her hard work???
 
laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Wow,hold on..
Hii ndio 'ihalalishe' usaliti alioufanya kwa msukumo wa tamaa zake mwenyewe.?

Koleo liitwe kwa jina lake, stop nonesense lady.!
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Acha kumpa moyo kwa tamaa zake, asipate shida aunge mkono tu juhudi.Alichokifanya in Nonsense
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Msiojua, kikao cha KK juzi kilikuwa na lengo la kukitoa chama ktk mtanziko. Kuwasimamisha uongozi wateule 19 ni wa kimkakati kutuliza sintofahamu ya wanachama kwa kosa walilofanya kupeleka majina NEC. Kama wateule hawa wataomba msamaha ujue ndio lengo la kikao kile. Kuonyesha kuwa sio viongozi waliopeleka majina na kuwa watuhumiwa wameomba msamaha sasa tuwasamehe. Chadema haijawahi kufukuza mwanachama kisha kumpa siku 30 atafakari, wamefanyamhivi safari hii kuiondoa Chadema ktk Aibu ya kula matapishi yao ya sitaki nataka. Ukweli wanavihitaji viti hivi lakini kwa uungwaji mkono na wanachama. Walikosea na njia ya kutokea ilikuwa lazima iwe hivi. Hawa wote ktk siku 30 walizopewa kimkakati wataomba msamaha na maisha yataendelea huku wanachama wakipiga makofi. Ukitaka kulijua hili jiulze kwa nini mbunge wa Mpanda hajachukuliwa hatua kwa kukiuka maagizo ya chama kutotambua matokeo? Jiulize mke wa Bananga (Kampeni meneja wa Lissu) inawezekanaje aende kuapishwa Dodoma bila mume wake kujua wala asiripotie uongozi mipango hii.
 
Halima Mdee anasema na nishukuru mwenyekiti wangu wa chama kwa kuturuhusu,... Aisee..!
Mwenyekiti naye amewaambia waombe msamaha ili warudishiwe uanachama wao.... Hii biashara inafahamika kwa mwenye chama
 
Chadema akili kubwa, hata walioapishwa wana bow down to Chadema. Jana NEC ya CCM ilikaa kikao kujadili maamuzi ya Chadema.
 
Mkuu Rebeca 83, nadhani Halima alipo chagua kufanya active politics tena kupitia upinzani alijua ni njia gani atapita (hardships).

Sisi unaetuambia tupo kwenye 'confort zone' nasi tulichagua kuwa huku baada ya kujipima na kuona hatuwezi kuwa 'wanasiasa wa majukwaani', politics being a game...kuna 'wachezaji' na 'mashabiki' so wote hatuwezi ingia uwanjani.

Unless Halima akiri kuwa hajui nafasi aliyoiomba na akaaminiwa for good 15 years na hao unaosema wako 'comfort zone'.

Amebambikwa kesi kibao na hao hao aliojiunga nao na watu walisimama kumtetea, ametukanwa na kudhalilishwa sana na hao aliojiunga nao bado tulimtetea, hata walipomfunga kwa hila tulimchangia kutoka jela na muda mfupi baada ya kifungo wakamvunja mkono bado tulisimama naye.

Unawezaje kusema kuwa tulio kwenye 'comfort zone' hatukutimiza nafasi yetu kwake na kwenda mbali kumuita 'jasiri' kwa usaliti anaotufanyia leo?!

Respect decision zake mkuu,amebambikiwa kesi sijui amefanyaje ..hili ni swala personal yeye ndio anajua kwa nini despite everything bado akaona huo ndio upande anaoutaka...nakuomba u RESPECT hizo decisions kama ambavyo ningependa wewe au wengine waheshimu CHOICES you made in life.....

Halima ndio alichagua hio kazi,na alijua consequences zake..but challenges alizopitia ni nyingi na bado akazimudu kwa miaka 15!?! Jiulize wewe ndani ya miaka 15 umebadilisha kazi ngapi?? je kazi yako ingekua na challenges za mpaka kulala selo,ungeweza kudumu nayo?? be FAIR huyu ni JASIRI..........
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Umeandika nini hiki? kwako Mdee ni jasiri? una matatizo. Askari aliewageuka wenzake vitani unamuita jasiri!

Huyo ni msaliti, na ninaamini ndie aliewaponza hao wengine ukimuondoa Bulaya, walimuamini kwa ujinga wake wakidhani angewavusha salama kwenye hili, matokeo yake vita aliyoanzisha imemshinda, na wenzake wameshamuona kumbe ni mwepesi tu, Chadema ndio iliyombeba.

Hao wenzake wafanye moja, waitishe press waombe msamaha kwa watanzania wote, wakitoka hapo ndio waende kwa Mbowe. Huyo "jasiri" wako Mdee na Bulaya wapotelee mbali kabisa. R.I.P
 
Back
Top Bottom