moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 125,738
- 690,791
Ni kweli amepambana, lakini lazima kuheshimu taratibu za kikatiba mlizojiwekea.Huyu dada amepambana sana
Leo watu wanajidai hawaoni effort zake.
Hata Mimi natamani mkulu ampe cheo.
Ubunge wa viti maalum mchakato wake lazima upitie kwenye vikao vya chama.
Hilo halikufanyika.