Wanaukumbi.
Tujulishane waliofuatana na EL UKAWA.
1. Ole Medeye aliyekuwa mbunge wa ARUMERU MAGH.
2. Regina Lowassa...
Wataje...
.....UPDATE....
-Madiwani 20 wa ccm Monduli.
-Madiwani wa Ccm Shinyanga.
-Ester Bulaya.
-James Lembeli.
-Diwani wa Moshono na Viongozi wa ccm kata Terrat.
- Madiwani wa ccm kahama.
- Meya wa zamani wa jiji Arusha na diwani wa baraa Paul Laiser.
Tutawaletea madume mengine YA mbegu.mnahitaji mangapi vile?